Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Umma wa Watanzania utaamua, mwaka huu tume haina nafasi ya kuchagua rais.".......isn't an easy task" Tanzania ni ya Watanzania sio Robert na vibaraka wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umma wa Watanzania utaamua, mwaka huu tume haina nafasi ya kuchagua rais.".......isn't an easy task" Tanzania ni ya Watanzania sio Robert na vibaraka wake
Umechelewa robert apigi kura,njia pekee ya kumkomesha robert ni kutenda haki.Kwani robert ndie aliyesomesha namba watz,aliyempiga Ponda na Lisu risasi,aliyebambika watz kesi,aliyemiliki magaidi wa wasiojulikana.
We tembea hata kilometa milioni 10 au Hadi miguu iingie tumboni huwezi badili upepo sisi ndo tumepitia mateso ndo tunajua Kati ya propaganda na Hali halisi
Mliwasifia walipokuwa wanarushia polisi mawe kama walivyoelekezwa na mwalimu seif
Njaaaaa itakuuuwa fala wwKesho Watanzania tunaenda kumsulubu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
wajinga! Sasa wanalialiaMkuu,hao vijana huwa hawajui kitu
Njaaaaa itakuuuwa fala ww
Robert kiboko ya madikteta akimaliza hapa anahamia uganda mwakani,kesho ndo mwisho wa Utawala wa familia
Two options chattotown au the HagueTutamfundisha adabu
Kesho tunaenda kumwonyesha mhutu kutoka Burundi, jambazi na mauaji, kuwa hatakiwi huku arudi kwao
Hakuna mtz atakaechagua kuteseka tenaKamanda bwanyenye Robert na kibaraka wake lazima aadhibiwe
Umetoka wapi?We umetoka 1000 sisi tulio toka 8,500km
Kumpigia Lissu kura we zinde kwwel
Hakuna mtz atakaechagua kuteseka tena
Kesho hakuna uchaguzi bali uhuni wa vibaka wa CCM dhidi ya wananchi, mtajitangazia ushindi ila moyoni utajua kilichowakutaBwanyeye Robert na kibaraka wake wataadhibiwa na Watanzania mpaka waombe poo
ASANTE SANA KWA UZALENDO WAKO. MIMI PIA NIMESAFIRI ZAIDI YA KILOMITA 1,200 ILI NIPATE NAFASI YA KUPIGA KURA; LENGO LIKIWA KUWAFUNDISHA AMSTERDAM, SMITH, TRIPPI NA VIBARAKA WAO KUWA WATANZANIA TUNAJUA MIPANGO YAO OVU YAKUTAKA KUPORA MALI ZETU. WASHINDWE NA KULEGEA. MWENYEZI MUNGU YUKO NASI KATIKA VITA HII NA SINA SHAKA TUTASHINDA KAMA TULIVYOSHINDA GONJWA LA COVID19.Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Kesho tunaenda kumwonyesha mhutu kutoka Burundi, jambazi na mauaji, kuwa hatakiwi huku arudi kwao
Lissu Hana kashfa yeyeto, ni civilized educated na ana exposure na modern economic atatuletea Utawala wa sheria ndio msingi wa haki, Uhuru na maendeleo. Watz watakuwa salama hawatauliwa, pigwa risasi, bambikwa, dhulumiwa mazao yao pesa zao mali zao. Ataleta ajira, nyongeza za mishahara, bima ya afya ni mzalendo halisi ni mtetezi halisi wa wanyonge na sio mnyongaji wa wanyonge kwaniini tusimpe kura zetu?Kuuza nchi haikubaliki
ASANTE SANA KWA UZALENDO WAKO. MIMI PIA NIMESAFIRI ZAIDI YA KILOMITA 1,200 ILI NIPATE NAFASI YA KUPIGA KURA; LENGO LIKIWA KUWAFUNDISHA AMSTERDAM, SMITH, TRIPPI NA VIBARAKA WAO KUWA WATANZANIA TUNAJUA MIPANGO YAO OVU YAKUTAKA KUPORA MALI ZETU. WASHINDWE NA KULEGEA. MWENYEZI MUNGU YUKO NASI KATIKA VITA HII NA SINA SHAKA TUTASHINDA KAMA TULIVYOSHINDA GONJWA LA COVID19.
Nani alikuwa kibali cha kutusemea watanzania, hakuna mropokaji kama magu mpaka anamtogozea mama yake mzazi mabwana, laaana tupuSisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu