Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Tuangalie namna ya kuilinda hii nchi dhidi ya wale wainyemeleao. Laiti mngejua vita iliyopo dhidi ya hii nchi mngemwombea sana Rais wetu maana dhamira yake ni halisi ila mabeberu wamekasirika sana. Kwa namna ambavyo mioyo yenu imejaa chuki kwa sasa hamuwezi kuelewa haya mambo. Ila tujifunze zaidi kwa wenzetu waliotuzunguka, anzeni hapo Libya muone uhalisia.
Mkuu kwa comment hii umeitendea haki kabisa ID yako.
 
Kamanda hadi wiki iliyopita JPM alikuwa na asilimia 70 ya ushindi lakini sasa tunalenga ushindi wa kishindo ili Robert na vibaraka wake waumbuke, wakome.
umepoteza pesa zako na muda wako...hio hela ungeisaidia familia yako masikini au ungeenda kutoa sadaka

Chagua Lissu..Chagua uhuru, haki na maendeleo
 
Rais ni magufuli hao wengine wacha wajinyee nyee tu na uroho wao.
TUPO PAMOJA DAIMA.
 
We umetoka 1000 sisi tulio toka 8,500km
Kumpigia Lissu kura we zinde kwwel
Hizo km 8500 si za humu nchini, umetoka ughaibuni na Lissu wewe sishangai kumpigia kura, ila umepoteza muda tuu.
Unaondoka lini kurudi huko maana Lissu anaondoka Dec 18.
 
Tuangalie namna ya kuilinda hii nchi dhidi ya wale wainyemeleao. Laiti mngejua vita iliyopo dhidi ya hii nchi mngemwombea sana Rais wetu maana dhamira yake ni halisi ila mabeberu wamekasirika sana. Kwa namna ambavyo mioyo yenu imejaa chuki kwa sasa hamuwezi kuelewa haya mambo. Ila tujifunze zaidi kwa wenzetu waliotuzunguka, anzeni hapo Libya muone uhalisia.
Tumuombe wakati yeye ndio anatubagua kwa itikadi zetu?
Kapandikiza sana chuki baina yetu mimi nilimpigia kura 2015 lakin kesho asahau kura yangu.
 
Back
Top Bottom