[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unasemaaaaa?????Lisu Hana kashfa yeyeto,ni civilized educated na ane exposure na modern economic atatuletea Utawala wa sheria ndio msingi wa haki,Uhuru na maendeleo.watz watakuwa salama awatauliwa,pigwa risasi, bambikwa,zulumiwa mazao yao pesa zao mali zao.Ataleta ajira, nyongeza za mishahara, bima ya afya ni mzalendo halisi ni mtetezi halisi wa wanyonge na sio mnyongaji wa wanyonge kwann tusimpe kura zetu?