Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 358
Ndio aneakusadia ARV ya ndugu zako wenye ukimwi mwambie meko atoe bure wakati panadol inamshindaMimi ni Mtanzania,sitaruhusu bwanyenye kuisemea nchi yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio aneakusadia ARV ya ndugu zako wenye ukimwi mwambie meko atoe bure wakati panadol inamshindaMimi ni Mtanzania,sitaruhusu bwanyenye kuisemea nchi yangu
kete ya kufanya nini?Polisi wameua wanne usiku huu huko Pemba. Hiyo ni kete nyingine ya wakili Amsterdam.
Hana uwezo wa kushinda na wazungu wakati ajawekeza kwenye teknolijia aache usela maviTuangalie namna ya kuilinda hii nchi dhidi ya wale wainyemeleao. Laiti mngejua vita iliyopo dhidi ya hii nchi mngemwombea sana Rais wetu maana dhamira yake ni halisi ila mabeberu wamekasirika sana. Kwa namna ambavyo mioyo yenu imejaa chuki kwa sasa hamuwezi kuelewa haya mambo. Ila tujifunze zaidi kwa wenzetu waliotuzunguka, anzeni hapo Libya muone uhalisia.
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani uonevu unyanyasaji uovu mwingi? Uzalendo ni kuiba trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara? Tanzania Nchi huru? Uhuru upi? Kuna uhuru Tanzania? Ingekuwa ni Nchi huru mtukufu angefanya ujinga huu wa kuzima Whatsapp tokea jana mpaka Leo ili aue watu Zanzibar na kuiba kura Tanganyika Dunia isijue mpaka NECCCM Tumeccm na Polisiccm wakimtangaza mshindi kwa njia haramu za kishetaniNdugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Wewe unaamrisha polise huwezi kutoka usiamrishe polise uone
CCM ndiyo makao makuu ya shetani DunianiWakati wa kurudi hizo kilometre 1000 lazima upate ajari tu maana kuchagua ccm ni laana na mkosi. Labda ukae huko huko.
Ha ha haaa! Kwani Robert amefanya kosa gani? Yule ni wakili tuu kama mawakili wengine, anachofanya ni kutetea na kusimamia haki za mteja wake [emoji2375]Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Wewe ni mnufaika wa tenda za ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge au ni mnufaika wa 10% ununuzi wa NdegeHapa niliko hakuna anayerushia mawe police. Wacha nifike kituoni nikashiriki kumchagua rais wangu jasiri muongoza nchi🇹🇿
💚💛💚💛💚🖐👍
CCM ni makao makuu ya shetani DunianiHa ha haaa! Kwani Robert amefanya kosa gani? Yule ni wakili tuu kama mawakili wengine, anachofanya ni kutetea na kusimamia haki za mteja wake [emoji2375]
Sijawah kuona akilazimisha watu wamchague Lissu. Anachosisitiza ni uchaguzi huru na wenye haki, polisi kuacha upendeleo kwa CCM, kutoa nafasi sawa za wagombea kufanya kampeni bila kusumbuliwa.
Lakin tumeona waziwazi, magufuli amekuwa akisimama na kufanya kampeni maeneo ambayo hajapangiwa (na si tume wala polisi walimzuia) lakin Lissu akifanya hivyo inakuwa nongwa.
Nani ana uthibitisho kwamba lisu ametumwa na mabeberu? Tujuavyo sisi, Lissu alienda ubelgiji kutibiwa [emoji2375] sasa kutumwa hiyo vipi?
CCM ndio chama kinachoogopa sana siasa za haki, ndio maana hata sasa wanahangaika kuzima mitandao (huu ni ushahidi tosha kwamba hali ni tete mnoo kwa CCM)
Wanazima mitandao ili dunia isijue kinachoendelea, lakin hamuwezi kuzima camera za simu. Tutarekodi kila tukio ovu na tutatumia kama ushahidi dhidi ya hao ma policcm.
Hakuna mbabe anaekosa mbabe mwenzie, wako wapi kina Omar Bashir na genge lake?
Hili genge la mabeberu hata kama ni KM 100,000 ni muhimu kwenda kuyaumbua kwa kumpigia kura ya ndio Magufuli.Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Wewe ni mnufaika wa tenda za ujenzi wa chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge au ni mnufaika wa 10% ununuzi wa Ndege
Imeisha hiyoHili genge la mabeberu hata kama ni KM 100,000 ni muhimu kwenda kuyaumbua kwa kumpigia kura ya ndio Magufuli.
Congratulations in advance President Magufuli
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Tanzania ipi? Tanzania ya sasa inaendeshwa kishetani na CCM iliyojaa ushetani wa kutisha mnoFreemason wa Ubelgiji hana nafasi katika Tanzania
Usiwe mpumbavu, hata kama, kitendo cha Maalim kuwaunganisha tu kinatosha, kila mtu afanye kipande, vitani hatuendi wote, tusioenda tunatoa chakula kwa askari.Maalim seif kahamasisha vijana kuwapiga mawe police halafu yeye na wanawe wanajifungia ndani wakitii sheria bila shurti.
Vijana amkeni kataeni kutumika
Nchi haijengwi kwa uonevu unyanyasaji huu wa CCMTulia tujenje nchi yetu
Safi sana sasa baadae tujadiliane mambo ya kihasibu vizuri huku tukiangalia namna Magufuli anavyomgalagaza wakala wa mabeberu vizuri.Imeisha hiyoView attachment 1614263
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani? Uzalendo ni kula 10% kwenye ununuzi wa Ndege , SGR, bwawa la umeme, flyover na miradi yote mikubwa yenye ufisadi mkubwaHakika ndugu mzalendo