Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

WHOEVER GOES AGAINST THE GOVERNMENT
WILL NEVER RECEIVE ANY REWARD.
DO WHAT YOU UNDERSTAND ITS RESULT
SO THAT ONE DAY YOU DON'T REGRET.
FIGHTING FOR FREEDOM ISN'T EASY TUSK.
 
Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Mm. Nafkir unaelekea airport kuelekea AU headquoters kupeleka malamiko kumbe unaenda kijijn kwenu. Na wanaotoka abroad watasemaje?
 
Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!

Umechelewa, Robert apigi kura, njia pekee ya kumkomesha Robert ni kutenda haki. Kwani Robert ndie aliyesomesha namba watz, aliyempiga Ponda na Lisu risasi, aliyebambika watz kesi, aliyemiliki magaidi wa wasiojulikana.

We tembea hata kilometa milioni 10 au Hadi miguu iingie tumboni huwezi badili upepo sisi ndo tumepitia mateso ndio tunajua Kati ya propaganda na Hali halisi
 
Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!

Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Na itakuwa fundisho kwa vibaraka wengine
 
Ni vizuri kujiridhisha na jambo kabla ya kulileta mbele za watu hasa hizi zama za utandawazi.
Haujasikia Maalim amekamatwa na yuko mikononi mwa polisi? Huyo alyejifungia na watoto wake ni yupi unamuongelea?
Usihangaike na wanawake wa mkorogo, wanaopendwa na mkubwa wa veganns!
 
Tz soon we are going to celebrate landmark referendum victory after voters threw out the constitution left by ccm 1977 regime of dictator Nyerere

Nyerere ndie muasisi wa katiba hii ya kidikteta ambayo imempa power dictator kudhuru na kuumiza kuharibu nchi.
Katiba mpya ndo jibu la kizazi cha sasa.na sio kuongozwa na katiba iliyokufa
 
JK Nyerere is among few bravest African leaders who loved his country with all heart, And he stood firmly against imperialists missions in Africa.
 
Kamanda Tanzania ni kwa Watanzania na sio Robert na vibaraka wake
Unamdanganya nani?! Na Kwanini watoto waseme Babu badala ya bibi?! Kura za ccm mwaka huu hazitoshi Wewe kuwa viti maalumu, na wabunge 10 wa rais, anateuwa TAL. utarudi kilomita zote 1000, ukalelee watoto!
 
".......isn't an easy task" Tanzania ni ya Watanzania sio Robert na vibaraka wake
WHOEVER GOES AGAINST THE GOVERNMENT
WILL NEVER RECEIVE ANY REWARD.
DO WHAT YOU UNDERSTAND ITS RESULT
SO THAT ONE DAY YOU DON'T REGRET.
FIGHTING FOR FREEDOM ISN'T EASY TUSK.
 
Inauma sana sisi wengine tuna watoto wa kiume Lissu anataka tumchukize Mungu, hapana kwa kweli ngoja na mimi nisogee karibu na eneo la tukio kwa ajili ya kesho.
 
Nie ya mada
Endeleeni na propaganda zenu uchwara. Kwani Amsterdam ndo ameua watu Zanzibar usiku wa leo??? Nyie wauaji, mafedhuli mwisho wenu ni wiki hii ndo mnavyozidi kulazimisha jueni tu ndo mnazidi kujipalia makaa kwenda ICC
 
Back
Top Bottom