[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unasemaaaaa?????Lisu Hana kashfa yeyeto,ni civilized educated na ane exposure na modern economic atatuletea Utawala wa sheria ndio msingi wa haki,Uhuru na maendeleo.watz watakuwa salama awatauliwa,pigwa risasi, bambikwa,zulumiwa mazao yao pesa zao mali zao.Ataleta ajira, nyongeza za mishahara, bima ya afya ni mzalendo halisi ni mtetezi halisi wa wanyonge na sio mnyongaji wa wanyonge kwann tusimpe kura zetu?
Mapema kabisa baada ya kuhitimisha haki yangu ya kupiga kuraHizo km 8500 si za humu nchini, umetoka ughaibuni na Lissu wewe sishangai kumpigia kura, ila umepoteza muda tuu.
Unaondoka lini kurudi huko maana Lissu anaodoka Dec 18.
Naungana na mtoa mada huu ni uchaguzi wa kuwafurumusha wasaliti wa nchi hii, ambao wako kama walina asali wapo tayari nyuki tuungue wao waline asali HAIWEZEKANI!!We sio msemaji wetu,sipigagi kura ila mwaka huu naenda kupigia TAL.
Nilochogundua huyu jamaa kawanyima usingizi kabisa, ni kidume haswa huyu jamaa.Mnvyolishobokea Hilo beberu lenu Amsterdam utadhani ndo kidume pekee mlicho nacho huko chadema.
Kwa hiyo ndio maana mnataka uchaguzi usiwe huru, mko hata tayari kupora ushindi halali.Naungana na mtoa mada huu ni uchaguzi wa kuwafurumusha wasaliti wa nchi hii,ambao wako kama walina asali wapo tayari nyuki tuungue wao waline asali HAIWEZEKANI!!
Haki isipotendeka hakutakuwa na amani. Kama wewe ni muombaji, omba kuwa kila mhusika akatende haki. Ndicho pekee kitakacholeta amani.Mimi ninachoiombea Tanzania yangu ni Amani... hayo mengine wanasiasa mmalizane wenyewe.... msituletee shida ndani ya Tanzania yetu
Tumuombe wakati yeye ndio anatubagua kwa itikadi zetu?
Kapandikiza sana chuki baina yetu mimi nilimpigia kura 2015 lakin kesho asahau kura yangu.
Roberts ameshakusanya ushahidi wa kutosha. Anangojea kukamilisha kesho na wiki ijayo ya matangazo ya walioshinda. Baada ya hapo kila Mtanzania atamjua!!!Kamanda Tanzania ni kwa Watanzania na sio Robert na vibaraka wake
Inaonekana Roberts amekukera sana. Bado mbona? Endeleeni na kuiba kura na kuwatesa WaTz mtajua kuwa Roberts ni nani haswa!Mnvyolishobokea Hilo beberu lenu Amsterdam utadhani ndo kidume pekee mlicho nacho huko chadema.
Dola ya Magufuli ilimuua Ben Saa8, Azory Gwanda, Simon Kanguye na wengine wengi. Dola hii imewaumiza wengi kwa kuwateka na kuwasulubu na hata dola hii ilimshambulia Tundu Lissu kwa risasi 16 na moja anatembea nayo kiunoni hadi leo.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unasemaaaaa?????
Achana na story za kusadikika, usiongee kitu bila kuwa na evidence. Au mgombea wenu mwanasheria hajawaelekezaa??Dola ya Magufuli ilimuua Ben Saa8, Azory Gwanda, Simon Kanguye na wengine wengi. Dola hii imewaumiza wengi kwa kuwateka na kuwasulubu na hata dola hii ilimshambulia Tundu Lissu kwa risasi 16 na moja anatembea nayo kiunoni hadi leo.
Nisemeje tena? Kuna wengi wamefunguliwa kesi za uwongo zisizo na dhamana na wanateseka mahabusu!! Umesikia? Uchaguzi huu ni mwisho wa dola hii ya mauaji.
Sasa wale waliouawa wamempata huyo Maalim?Siasa ndo inataka hivyo mama.akitoka yeye si watamuua tutamkosa.
Mimi haki ninayo siku nyingi wewe Mbowe kakuchukua mateka ukawa unaamuliwa tuu ndo maana unajiona mtumwa Hadi Sasa. Na bado haachi uenyekiti huko kwenye saccos Yake mtaendelea kuwa utumwani sijui mtajikomboa lini.Ni Bora ungetumia muda utakaoutumia kusafiri kukaa chini kuitafakari Kwa kina akili yako.
Katika mazingira ambayo Uchaguzi umegubikwa na vibweka na vituko. Unadhani hiyo Kura yako nani anaiheshimu huko CCM? Kura yako ingekuwa na thamani zaidi kama ungekuwa wapigia CDM mana ukipigia Kura CDM wapigia Kura Haki. Au wewe mwenzetu kizazi chako kijacho hakitahitaji haki??
Na huo ndiyo uzarendo, siyo kama huyu "Chiba" anayetetea ushoga!Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Mchezo huu hautaki hasira wala jazba. Unataka utulivu, hekima, na busara!!!Kafe na wewe uwe kete ya mabeberu na mashoga
Hii ni nukuu au ?Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Saa MbovuMimi haki ninayo siku nyingi wewe Mbowe kakuchukua mateka ukawa unaamuliwa tuu ndo maana unajiona mtumwa Hadi Sasa. Na bado haachi uenyekiti huko kwenye saccos Yake mtaendelea kuwa utumwani sijui mtajikomboa lini.
Achana na story za kusadikika,, usiongee kitu bila kuwa na evidence. Au mgombea wenu mwanasheria hajawaelekezaa??