Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

hakuna kuiba kura sasa hivi, mnajikuna kuna sana!
 
Kilometre 1000 lazma Wewe ni Msukuma mjinga kuliko wote duniani.
CCM wenyewe tumeamua Magufuli aondoke Sasa. Hafai.
 
Nami nipo nyuma yako lazima tumtende Bob
 
Karibu sana. Huyo Amsterdam atashuhudia watu walivyoshikamana
 
Ujinga na upumbavu wako hauna gharama wala madhara.
 
Ndiyo umeshauri Hili la Twitter, Whasp, Instagram... hizi tabia siyo za watanzania na hatujazoea
 
Una biashara gani ya mamilion ww shonza zaidi ya kudanga?
Yani unasafiri kilomita 1000 kwenda kudanga????
 
Maalim seif kahamasisha vijana kuwapiga mawe police halafu yeye na wanawe wanajifungia ndani wakitii sheria bila shurti.
Vijana amkeni kataeni kutumika
Hapa ulopo na wewe unatumika au hujui
 
Haya, sasa wewe nenda ukaibebe familia ya maalim seif, watoto na wajukuu zake muwahi barabarani

Acheni kutumia watoto wa wenzenu
Wewe unaamrisha polise huwezi kutoka usiamrishe polise uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…