Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea?
Je, nitakuwa nimekosea?