Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kisa WhatsappLeo lazima unyimwe mzee
Nimesgaleft sana magroup kuna usnitch na u match know full kutambianaMimi hata group la familia yetu tu huwa sikai maana usnitch huwa sitaki. Mimi group langu ni moja tu la Liverpool FC mambo ya soka tu.
Wakiniweka group sijui la shule najitoa sijui la familia najitoa sitakagi uduanzi mimi. Sasa sembuse la ukweni.
Hiyo simu ya mpk kuselekt video ya amber itakuwa imetoka kwenye galaxy nyingineHata mimi huwa sipendi, issue za ndani za ukoo wa kikeni hazikuhusu sasa umo unafanya nn!? Pili mle kuna mama wakubwa na wadogo wa mke wako, kuna baba wakubwa na wadogo wa mke wako ambao kiujunla ni wakwe zako, je siku simu imejibonyeza mfukoni ikachukua clip ya amber ruuuuutiiiii ikapost kwenye hilo group baada ya kuja kujua utaweka wapi uso wako dhidi ya ukoo mzima wa ukweni.
Nashauri hata wengine kama mko magroup ya kwao mwanamke ni upimbi na ukosefu wa adabu mleft
Aaah watajua wenyewe kama watanitafsiri hivyoo.Mmekuwa mwili mmoja nawe sasa ni sehemu ya familia ku LEFT ni utovu wa nidhamu nakujitenga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] bahati mbaya sana leo na wiki hii sina nyegee kabisaaLeo lazima unyimwe mzee
Naaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea ?
SureUmefanya vyema
Funguka unataka kusema niniSometimes najiuliza, hivi ni kwamba watu wanalazimishwa kuoa kabla hawajapevuka au akili za vijana wa siku hizi zimezoea kudesa /kuigilizia (kucopy and paste)
Setting zipi mkuu nami nizuie hii kituMi ndio maana nimezuia kwenye settings kuwekwa kwenye magrupu bila ridhaa yangu, hizo settings zipo for a reason, use it.
Na ukweli leo muda mfupi baada ya kuleft amenipigia mamamkwe ananiuliza mwanangu vipi una shida yeyote? Amenidadisi as if kunaa tatizo kitu ambacho hajawahi hata siku moja kuongea na mimi politely as the way she did . Nashukuru naona mwanga mbele wa kuwekeana mipaka na heshma. Sihusiki directly na affairs za familia ya mkewangu huu ndio ukweli.Upo sawa, kuzoeana zoeana sana na wakwe wanakuona pimbi.... keep distance muheshimiane.