Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Nchi hii ina vijana wa hovyo na wahuni sijapata ona..
Alie kuunganisha ilibidi uongee nae hajue na akuleftishe,
Alie kuunganisha ilibidi uongee nae hajue na akuleftishe,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukileft nakuzawadia talaka rejea afu unakuwa mchepuko wangu tuendelee kupeana raha kidhambidhambiGubu!!!!!
Namshauri mkeo aleft magroup ya famioia yako.
kila mtu abaki na familia yake
Unanidhalilisha ujue....😅 huo ndo ubabe wenu wa kiume....
It wasn’t me na uso wa mbuzi.....
Imeisha hiyooo....
Wanaume, zamani nilikuwa napata tabu siku hizi waalaaah...
Ukinyimwa papuchilo usiku usiulize mchawiNaaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea ?
AhsanteHongera.
Sasa wanajadiliana masuala ya familia na ndugu zake mimi inanihusu vipi? Nadhani mkewangu akibaki anatosha kunipa taarifa za kwao. Kuhusu group la familia yangu yupo huru akitaka aleft tuuGubu!!!!!
Namshauri mkeo aleft magroup ya famioia yako.
kila mtu abaki na familia yake
😂😂😂😂Hutalala nakwambia.😂
Sorry ni group la ukweni mkuu siyo kikeni.Kwanza walikuingiza kwenye group la kikeni wanataka kukufanya nini?
Najiulizaga unashawishika na nin mpaka kushabikia kibonde livaMimi hata group la familia yetu tu huwa sikai maana usnitch huwa sitaki. Mimi group langu ni moja tu la Liverpool FC mambo ya soka tu.
Wakiniweka group sijui la shule najitoa sijui la familia najitoa sitakagi uduanzi mimi. Sasa sembuse la ukweni.
Tumetokea nayo mbali mkuu sijaanza kushabikia mpira juzi mimi.Najiulizaga unashawishika na nin mpaka kushabikia kibonde liva
Ndiyo upande wa kikeni huko.Sorry ni group la ukweni mkuu siyo kikeni.
Mmekuwa mwili mmoja nawe sasa ni sehemu ya familia ku LEFT ni utovu wa nidhamu nakujitengaNaaomba kuuliza wadau katika kutafakari sababu za familia ya mke wangu kuniunganisha katika group la familia yao sikuona mantiki na hivi leo nimeaamua kuondoka.
Je, nitakuwa nimekosea ?
Kisa? Atanyimwa?Hutalala nakwambia.[emoji23]
Gubu lake na anaweza asipikiwe kabisa..😂Kisa? Atanyimwa?