monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda huyo dada mumewe ni mkorofi ndio maana kakimbilia huko atakuwa ameshindwa kupata ushahid ikiwa watakana atafute ushahid kwanzafanya mpango wewe na mkeo mkutane na huyo dada akiwa na mume wake at neutral point, uulize upate kujua.
Unapata wapi muda wa kuja kuomba ushauri humu jukwaani kabla ya kumtafuta kwanza huyo mtoa taarifa, ili upate ukweli wa hizo shutuma zake?Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa
Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.
Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,
Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka
Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake
Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.
Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
🤣🤣🤣Yani wewe umegongewa mke alafu unatuambia Wewe ni mzima wa afya una akili wewe?
Subhanallah!🤔Kumekuchaaaa
Kumekuchaa
Fanya hivi,
Na wewe toka na huyo alieleta taarifa ili iwe GG 😁
Umeanza kukubaliana na hoja zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwakweli ni shida
Kunarafikiyngu Jana wameachana na mkewe mke kasomba vitu vyote vya ndani ndoa Ina miak 2 na ni ya kanisani nimemuonea huruma sana
Kataa Ndoa Wana hoja wakat mwingine
Na Wewe ukamuacha?!.. dahhNdugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa
Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.
Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,
Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka
Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake
Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.
Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
boss la DP world... toa ajira kwa vijana acha blah blah 😂😂 jokes mkuuYani ananisumbua kweli, namwambia niko busy na bandari zangu ila hanielewi anataka nimpige ukuni. Nikampiga mara 2 tu.
kama ni hivyo jamaa awasiliane na dada pasipo wazinzi kustuka, liandaliwe fumaniziHuenda huyo dada mumewe ni mkorofi ndio maana kakimbilia huko atakuwa ameshindwa kupata ushahid ikiwa watakana atafute ushahid kwanza
Kwa hiyo wasikilizwee... Haya mwakilishi wa Wakataa Ndoa Una la kuongezeaaa, mpeni maiki jamani 😂Kwakweli ni shida
Kunarafikiyngu Jana wameachana na mkewe mke kasomba vitu vyote vya ndani ndoa Ina miak 2 na ni ya kanisani nimemuonea huruma sana
Kataa Ndoa Wana hoja wakat mwingine
Alikuwa na shida na zamani za ndani bila shaka lengo lake limetimia 😂Kwa Nilivomuona rafiki yangu nimeanza kuwaelewa kataa Ndoa😀😀 jamni ndoa mpya mtu anaondoka na vitu vyote vya ndani inamaana kamuacha na Bado aanze Tena maisha upya
Neuro mdogowangu sijakupa hii story😀😀😀ila usijiunge kataa Ndoa
Nawasihi washikilie hapohapo 😀😀hojazao Zina mashiko ni Utapeli 🤣🤣Sasa unafunga ndoa miak miwil unamuacha mume sawa humtaki ndo ubebe na kitanda mwenzio alale wapi🤣🤣Kwa hiyo wasikilizwee... Haya mwakilishi wa Wakataa Ndoa Una la kuongezeaaa, mpeni maiki jamani 😂