NIMELIA LIPOSIKIA HILI

NIMELIA LIPOSIKIA HILI

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Iko hivi
Kuna video moja ipo katika mtandao ambayo inazungumzia mtu mmoja aliekuwa na madaraka katika nchi 1 iliopo Mbali dunia inayoitwa - JAMAINA
Kiongozi huyo alikuwa nafasi ya uwaziri ya kusimamia watu kazi ambao waliopo kwenye adhabu
Siku 1 vijana walipewa kazi ya kulima shambani kama ni adhabu kwao, ilikuwa ni siku ya Ijumaa.
ilipofika saa 6 mchana wale vijana waliomba kwend msikitini kuabudu.
Yule waziri akawaambia leo hamna kuabudu dhambi zenu nitazibeba mimi , itabidi wale vijana waendelee kulima huku wakiwa na uchungu
Siku ya siku moja yule waziri akafanya kosa kumkosea bosi (Rais) wake akajikuta jela wakakutana na wale vijana waliokuwa aliowazuia kwenda kuabudu lakini waziri hakuwajua
Siku 1 wakati waziri kapewa kazi ngumu na muda ushaisha hajamaliza akawa anasema " adhabu gani hii"
Wale jamaa wakamwambia unakumbuka siku1 ulituzuia tuesende msikitini dhambi zetu utazibeba weye? unakumbuka mtaa wa Janana?
Yule waziri aliweka jembe akalia sana tena sana, alijutia mateso alikuwa anawapa wenziwe na maneno ya dharau kwa wenziwe akawaomba msamaha sana wale vijana kwa aliowambia.
hii story ni true story sio ya kutunga, waziri alikuwa muislam na vijana ni waislam

Nimejifunza kwamba dunia hutakiwi ujione ni yako. Kuna siku ukimiiuza mwenzio na wewe utaumia.
Binaadam ni dynamic, leo chama X kesho utaangua CHAMA Y , Keshokutwa Z au P.
Leo unakazi na cheo, kesho huna kitu unakuwa omba omba unaanza kuyakuta uliyotenda
 
Wewe mtoto ni mdini sijapata kuona andiko lako lote lipo kwaajili ya kuonesha nguvu ya uislam ila hongera una pambana sana
 
Kuna video moja ipo katika mtandao ambayo inazungumzia mtu mmoja aliekuwa na madaraka katika nchi 1 iliopo Mbali dunia inayoitwa - JAMAINA
Kiongozi huyo alikuwa nafasi ya uwaziri ya kusimamia watu kazi ambao waliopo kwenye adhabu
Siku 1 vijana walipewa kazi ya kulima shambani kama ni adhabu kwao, ilikuwa ni siku ya Ijumaa.
ilipofika saa 6 mchana wale vijana waliomba kwend msikitini kuabudu.
Yule waziri akawaambia leo hamna kuabudu dhambi zenu nitazibeba mimi , itabidi wale vijana waendelee kulima huku wakiwa na uchungu
Siku ya siku moja yule waziri akafanya kosa kumkosea bosi (Rais) wake akajikuta jela wakakutana na wale vijana waliokuwa aliowazuia kwenda kuabudu lakini waziri hakuwajua
Siku 1 wakati waziri kapewa kazi ngumu na muda ushaisha hajamaliza akawa anasema " adhabu gani hii"
Wale jamaa wakamwambia unakumbuka siku1 ulituzuia tuesende msikitini dhambi zetu utazibeba weye? unakumbuka mtaa wa Janana?
Yule waziri aliweka jembe akalia sana tena sana, alijutia mateso alikuwa anawapa wenziwe na maneno ya dharau kwa wenziwe akawaomba msamaha sana wale vijana kwa aliowambia.
hii story ni true story sio ya kutunga

Nimejifunza kwamba dunia hutakiwi ujione ni yako. Kuna siku ukimiiuza mwenzio na wewe utaumia.
Binaadam ni dynamic, leo chama X kesho utaangua CHAMA Y , Keshokutwa Z au P.
Leo unakazi na cheo, kesho huna kitu unaanza kuyakuta uliyotenda
Siyo stori ya kutunga wakati haujaitaja nchi husika,mwaka ilipotokea wala majina halisi ya wahusika?
 
Hii Hadith inanikumbusha polisi aliyeitumikia CCM kwa miaka lukuki, siku ya kustaafu mafao yake hayafikii mishahara miwili ya mbunge. Yaani chini ya m36.
Au yule polisi wa Kenya aliyetaka kuwarushia wale watoto wanaoandamana awaue lkn bomu likamlipukia mikononi na akakatika mikono yake yote mwenyewe.
In short KARMA is real.
 
Ila kuhusu kulia wewe umetufunga kamba😂😂
kama wewe hulii? imagine wewe unacheo kikubwa ukawa unawatesa watu vya kutosha. siku ukaingia jela wewe na kumkuta yule ulemtesa mpaka kuzimia ndio mfungwa bosi pale gerezani. unafika na makaki yako ya jela anakwambia leo zamu yako kubeba ndoo ya mavi ukiyamwage. wewe utajisikiaje? huku akikucheka?
 
kama wewe hulii? imagine wewe unacheo kikubwa ukawa unawatesa watu vya kutosha. siku ukaingia jela wewe na kumkuta yule ulemtesa mpaka kuzimia ndio mfungwa bosi pale gerezani. unafika na makaki yako ya jela anakwambia leo zamu yako kubeba ndoo ya mavi ukiyamwage. wewe utajisikiaje? huku akikucheka?
Nilie kisa hadithi ya kusadikika?

Nitachukua funzo kama lipo lakini cha kulia si kweli.

Ila wewe umetudanganya kuhusu kulia.

Kwamba muanzisha sredi ulikuwa na hali hii👇

1724741747150.png
 
Back
Top Bottom