Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!




 
Afadhaliii hii kuliko Addis ile khaaa
 
Mbona sio Nyerere ni Sokoine?
 
Inasikitisha
 
Wanazidi kumharibu Mwl. Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…