Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


sasa hiki na hili la Cuba lipi n professional
 

Attachments

  • 29F39025-96FD-46F4-96E9-F12C096AD3A9.jpeg
    29F39025-96FD-46F4-96E9-F12C096AD3A9.jpeg
    299 KB · Views: 2
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


hapa wamepatia vizuri sana,Binafsi nilibahatika kumuona mwalimu Nyerere live,miaka yake ya mwisho na hii sanamu wanafanana sana.sema tu hayuko kwenye happy mood..
 
Kuna watu mna machozi ya Bure🤔

Yaani unalilia sanamu ilhali Nyerere mwenyewe alipokuwa hai baba zenu walimsema kwamba hafai?
 
Mtoto wa Nyerere atafutwe athibitishe tuu kuwa huyu ni baba yake na itakuwa imekwisha ila binafsi aibu kama hii sikutaraji itokee Cuba kwenye ardhi ya mwalimu
 
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Naenda mahakamani kishtaki. Haiwezekani watu wachonge sanamu inayofanana na mimi bila kuniomba wala kunipa taarifa.

Heshima ichukue mkondo wake.
 
Nimeambiwa Cuba Kuna uchafuzi wa hali ya hewa na viwanja vya ndege vimefu hao mawaziri waliopo huko hawaathiliwi na hali ya hewa na je wametumia nyungo na vipembe kupaaa?
 
Hii mbona imetulia mkuu, uliiona Ile ya Ethiopia, wamwache huyu Mzee wanamdhalilisha sana.
 
Nilishaweka uzi humu kuwa Tanzania hakuna wasanii wa kuchonga,hizo tenda waoeleke italy waone,japo ni gharama ila kaxi itaonekana
 
W
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


We nae vp sijui!
Yaani serious wataka kulia kisa lisanamu!!
 
Back
Top Bottom