Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

Na watanzania nadhani hii umewekwa na Cuba kwenye bustani ya wapigania uhuru wa Africa. Punguzeni mchecheto
 
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Umekosa vya kulilia aisee
 
Acha unafki Sasa unalia Nini yako umemaliza? Shobo?
 
Sanamu utafikiri vile vizee vibishi kutoa nauli ya daladala
 
Cuba hawawezi kuchonga bure tu, hela imetolewa na serikali ya bongo
 
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Picha kama jumanne muliro muliro
 
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Huyu ni yeyw sema tu amenuna na rangi wamempa siyo yake, amekuwa black zaidi😀
 
Sasa sanamu tu nalo mpaka unalia sana? Wakati mwingine inaweza kuwa ni stress ndizo zinasumbua wala siyo sanamu!
 
Mimi nahisi Nyerere original ameanza kusahaulika tena kwa speed ya ajabu. Kama kuna sanamu ambayo haikupaswa kukosewa basi ni Hayati JK. Nyerere. Tunazo picha zake katika ofisi zote za serikali, lkn eti tunaikosea.

TUJITAFAKARI
 
Mimi nahisi Nyerere original ameanza kusahaulika tena kwa speed ya ajabu. Kama kuna sanamu ambayo haikupaswa kukosewa basi ni Hayati JK. Nyerere. Tunazo picha zake katika ofisi zote za serikali, lkn eti tunaikosea.

TUJITAFAKARI
Watu wanafanya makusudi ili wapewe kazi tena ya kurudia
 
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Umelia ukiwa Cuba, Havana?.. maana Cuba hatuliagi...😅😅😅😅😅
sasa hiki na hili la Cuba lipi n professional
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Umelia ukiwa Cuba, Havana?.. maana Cuba hatuliagi...😅😅😅😅😅
 
Wakuu,

Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?

Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.

Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma

Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?

Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!


Hapo Mwl ni kama alikuwa na hasira akitoa mfano kuhusu yule waziri malaya malaya aliyejiuzulu kule Uingereza!
 
Back
Top Bottom