Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na raia wangebubujikwa 😂😂Mwashambwa anakwambia nchi ingetikisika kwa uzinduzi wake
Umekosa vya kulilia aiseeWakuu,
Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?
Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.
Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma
Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?
Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!
Hajawahi kuwa na Akili huyo Bwana mdogo.Mwashambwa anakwambia nchi ingetikisika kwa uzinduzi wake
Picha kama jumanne muliro muliroWakuu,
Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?
Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.
Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma
Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?
Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!
Huyu ni yeyw sema tu amenuna na rangi wamempa siyo yake, amekuwa black zaidi😀Wakuu,
Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?
Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.
Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma
Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?
Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!
Muda wa kufuatilia hawana wao ni posho na ufisadi ndiyo kipaumbele chaoCCM hata sanamu inawashinda kuchonga
Watu wanafanya makusudi ili wapewe kazi tena ya kurudiaMimi nahisi Nyerere original ameanza kusahaulika tena kwa speed ya ajabu. Kama kuna sanamu ambayo haikupaswa kukosewa basi ni Hayati JK. Nyerere. Tunazo picha zake katika ofisi zote za serikali, lkn eti tunaikosea.
TUJITAFAKARI
Nilifikiri ni Mh SELEMAN CHAFO 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆sasa hiki na hili la Cuba lipi n professional
Umelia ukiwa Cuba, Havana?.. maana Cuba hatuliagi...😅😅😅😅😅Wakuu,
Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?
Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.
Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma
Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?
Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!
sasa hiki na hili la Cuba lipi n professional
Umelia ukiwa Cuba, Havana?.. maana Cuba hatuliagi...😅😅😅😅😅Wakuu,
Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?
Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.
Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma
Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?
Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!
Hapo Mwl ni kama alikuwa na hasira akitoa mfano kuhusu yule waziri malaya malaya aliyejiuzulu kule Uingereza!Wakuu,
Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea?
Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa.
Soma pia: Sanamu ya Abraham Lincoln Washington DC na Sanamu ya Julius Nyerere Dodoma
Au huwa kuna hela zinabanwa then tenda ya kuchonga ya sanamu wanapewa wasanii uchwara?
Hili sanamu halina tofauti sana na lile la Kigwangala. Ndumbaro jitafakari!