Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabugujikwa na michozii tuuu... Lucas Mwashambwa tuonane basi Dodoma .. kwenye mkutano mkuuKifo hiki kimenihuzinisha sana.
😂😊 Of course hata Mimi nimefikiria hivyo maana kwa huu uandishi wa lukasiYaani we jamaa hili jambo la msiba lakini unatufanya tucheke ili tuonekane wabaya sababu ya uandishi wako.
Pumzika kwa Amani Dada Ester
Hivi anashindwa kuuzuia uharo au anatatizo?Pole sana sana zee la Kububujikwa.....
Kama ww unamfokea hani hadharani sisi ndio tutamtukana kabisa.Shenzi zakeUnaleta masihara msibani..!
Lucas ana vituko sana, hata kumchukia ni ngumu, mtu unabaki kumsonya huku unachekaKama ww unamfokea hani hadharani sisi ndio tutamtukana kabisa.Shenzi zake
Sphincter zimetatuliwa na wahuniHivi anashindwa kuuzuia uharo au anatatizo?
😅😅😅Daa wana JF... Anyaway marehemu hakuwa na card ya upande ule kweli?Ila kifo bana ... ni kiboko ya mwanadam
Pole sana lucas
Ova
Pepo la MIRATHI linawajiaHuu ndiyo mjengo wa marehemu alikuwa hajaumalizi?
Nashukuru sana.kwa hakika ni pigo kubwa sana kwetu wana Mbozi.Aisee....pole sana Malafyale
Ningeomba upite pembeni tu ndugu yangu kama kwako kifo ni jambo la kawaida .Unafiki tu,si mnasema kifo ni kifo tu!
Kwa kipindi hiki cha majonzi ningependa tu kusema nakusamehe bure kabisa.Hasa hawa viherehere kama huyu Lucy Mwashambwa
We jamaa ni mnafiki kudadeq zako.Kiukweli Nimeumia sana na nimelia sana na bado nalia na kububujikwa machozi ya huzuni kwa kifo cha Mheshimiwa Esther Mahawe.