Nimelia sana na bado ninalia sana kwa kifo cha Esther Mahawe. Huyu Mama ameniuma sanaa

Nimelia sana na bado ninalia sana kwa kifo cha Esther Mahawe. Huyu Mama ameniuma sanaa

Wewe kunguni mjinga kweli umelia nini sasa , si uende msibani kwa wanafamilia ukalilie huko.

Unasema umelia na upo humu kupost upuuzi wako na kutumia msiba wa watu kujionyesha ukunguni wako.
 
Wewe kunguni mjinga kweli umelia nini sasa , si uende msibani kwa wanafamilia ukalilie huko.

Unasema umelia na upo humu kupost upuuzi wako na kutumia msiba wa watu kujionyesha ukunguni wako.
Huyu anamkejeli huyo marehemu anajifanya analia huku yuko bize kuuliza habari za wanaume wenzake wanaishije hili ni chicha mwiba.
 
Back
Top Bottom