GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za Gesti ( Loji ) za Kawe Uswahilini.
Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.
Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.
Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.
Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.
Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.
Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.