Nimeliona hili mara Mbili karibu na Jengo la VIP Mortuary ya Lugalo Hospital hasa wakifa Viongozi je, lina maana au 'tunakompliketi' tu mambo?

Nimeliona hili mara Mbili karibu na Jengo la VIP Mortuary ya Lugalo Hospital hasa wakifa Viongozi je, lina maana au 'tunakompliketi' tu mambo?

Alipokufa Hayati Rais Dkt. Magufuli na Kuhifadhiwa hapo kwa Siku kama Mbili au Tatu hivi barabara ambayo si tu hutumiwa na Wanajeshi lakini hata Raia ( akina GENTAMYCINE ) ilifungwa huku 'Makomandoo' wakirandaranda japo baadhi yao mida ya Usiku tulikuwa tukipishana nao mno tu katika 'Korido' za Gesti ( Loji ) za Kawe Uswahilini.

Na hivi karibuni tu baada ya kutokea kwa Kifo cha Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa utaratibu ule ule wa Kufunga njia ( barabara ) hiyo kwa Watu ( Raia ) na hata Wanajeshi ( Wanamedani ) kutokupita kumerejea japo safari hii sijawaona 'Makomandoo' ila ninewaona MP's wengi na kuna Wawili najua kuanzia Saa 1 Usiku nitakutana nao Baa Moja hivi maafufu tukigombea 'Kwichi Kwichi' zilizotapakaa hapo.

Naomba kujua Uhusiano wa Maiti za Viongozi wa Kitaifa ( Kiserikali ) Kuhifadhiwa hapo VIP Mortuary ya Lugalo Hospital ( ndani ya kilipo Chuo chao cha Tiba MCMS ) na Kulindwa sana na mpaka Barabara ambayo hupita Raia na Wanajeshi hulazimika Kufungwa kwa muda.

Wajuvi wa 'Masuala' tupeni tusiyoyajua.
Mkuu we itakuwa poti poti fedha🤣
 
Mkuu we itakuwa poti poti fedha🤣
Namjua sana na ni Rafiki yangu japo pamoja na 'Shobo' zake zote kuna Siku alitaka 'Kupigwa' na 'Wajeda' wa Lugalo ila kutokana na GENTAMYCINE kujichanganya Kwangu na Watu wa Rika zote na Wananikubali na Kuniheshimu niliwaomba wasimpige basi Jamaa ( Poti Poti Fedha ) tokea Siku hiyo hadi leo si tu ananiheshimu bali ananiogopa mno akidhani labda Mimi ni Mtu wa Kitengo ( System ) wakati kumbe Mimi ni Mtu wa Kawaida na nisiye na Hadhi yoyote ile hapa Tanzania.
 
Mada ambazo huwa juu ya upeo wa ma mburula mengi ya hapa JF huchangiwa kwa matusi!
Eti "katiba mpya"! Kwa uwezo huu wa kufikiri wa watu wenye access na internet ndio huu?
 
Back
Top Bottom