mh mimi moja hali ni hii wewe mbili si ndio utasota sana?? kwa hiyo umeamua kufanya nn sasa?? mimi naona nguzo zimeekwa kuna mmoja nilimuuliza akanambia alianza kufatilia tangu marehemu mjomba wake yupp hai ni karibu 2016 kaja kuekewa nguzo mwaka huu mwez wa nane nikachoka kabisa tena anambia walifatilia mpaka wakakoma wakaamua kupotezea had walipopigiwa tu njooni mkalipie wakaekewa nguzoNdiyo nguzo mbili
Mimi nimewatumia majina yangu namba ya simu mpaka Sasa hamjanipa hudumaNdugu mpendwa Mteja wetu
Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Namba ya taarifa
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja
Tutumie tena tafadhaliMimi nimewatumia majina yangu namba ya simu mpaka Sasa hamjanipa huduma
Duu TANESCO kiukweli wanatupa mateso maana hii nyumba nilianza kuombea umeme tangu mwaka 2019 mpaka Sasa yani inasikitishamh mimi moja hali ni hii wewe mbili si ndio utasota sana?? kwa hiyo umeamua kufanya nn sasa?? mimi naona nguzo zimeekwa kuna mmoja nilimuuliza akanambia alianza kufatilia tangu marehemu mjomba wake yupp hai ni karibu 2016 kaja kuekewa nguzo mwaka huu mwez wa nane nikachoka kabisa tena anambia walifatilia mpaka wakakoma wakaamua kupotezea had walipopigiwa tu njooni mkalipie wakaekewa nguzo
Hebu wasikilize lakini kama bado kuna sound check na wale wanotembea na gari la emergency wale ndio kila kitu.. Mimi nilikomaa bila kutoa kitu nikafungiwa mita siku ya ijumaa ambayo ilikuwa haiingizi umeme.. Kucheki nao nikaambiwa mpaka jumatatu... Mungu bariki nikatonywa na msamaria mwema nikawatafuta wa emergency Ijumaa jioni umeme ukawakashida unajua nn sjui namfata nani naangukia kwa nani yan ningelengeshwa huyo mhusika angalau ingekua nasema vingine saa hizi hata huyo mkandarasi niliiunganishwa na mtu ila wamenipigia ngoja tuone mwisho wake
ila me niliambiwa ingekua sihitaji nguzo ingekua mara moja shida ikaja nyaya zitapita juu ya kiwanja cha mtu skutaka hayo mimi nikaomba tu iwekwe nguzo sasa ndio nakoma duh tangu 2019 mbona kaziDuu TANESCO kiukweli wanatupa mateso maana hii nyumba nilianza kuombea umeme tangu mwaka 2019 mpaka Sasa yani inasikitisha
shukran sana itabidi nianze hii kaz kunae mmoja huku yeye alianza process tangu mwez wa sita waliokuja nyuma yake wote wanaumeme yeye had leo yan mimi nitajiongeza skua najua tu pa kuanzia nitawataftaHebu wasikilize lakini kama bado kuna sound check na wale wanotembea na gari la emergency wale ndio kila kitu.. Mimi nilikomaa bila kutoa kitu nikafungiwa mita siku ya ijumaa ambayo ilikuwa haiingizi umeme.. Kucheki nao nikaambiwa mpaka jumatatu... Mungu bariki nikatonywa na msamaria mwema nikawatafuta wa emergency Ijumaa jioni umeme ukawaka
ππππ haya bwanaTuvumilie tu boss, hata tukiweka hizo nguzo tukakuletea waya mpaka mlangoni pako, bado hautapata umeme, sasa hivi tunahangaika na kina cha maji, megawatts hazitoshi halafu tuongeze tena watumiaji ? Kuwa na huruma π
Nenda kwenye Tanesco Special Thread kule utapata mrejesho fasta.itabidi niwafate tu huko ofisini
Kuna majengo yangu mawili nayo Yana miezi miwili sijapata huduma na hayo hayahitaji nguzo.ila me niliambiwa ingekua sihitaji nguzo ingekua mara moja shida ikaja nyaya zitapita juu ya kiwanja cha mtu skutaka hayo mimi nikaomba tu iwekwe nguzo sasa ndio nakoma duh tangu 2019 mbona kazi
Ni vigumu kujilipua kwa mtu asiyemfahamunimeshamwambia pia lakini ananambia wala haina haja
Maana humu unaweza kuta unabishana na mpangaji wako, anakwambia uhonge wakati kodi halipi kwa wakatkama mbwai na iwe mbwai sio