Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupa uzoefu. Mimi pia nimepita humo.somaga bas comments zilizopita
hao mods wa hovyo mno wanahariri tu mimi sjalipia nguzo ila niliishia tu kurudisha form nikafatwa na mpimaji mara mbili tangu hapo had sasa kimya nishaenda ofisini kwao majibu yao hayakuniridhishaUlilipia nguzo kivipi? Nguzo haziuzwi, umepigwa. Toa taarifa kwa meneja.
kuna binadam mnakera, hebu jiongeze basToa hela acha ubahili
mods wamecorrect kitu ambacho sichoUlilipia nguzo ya namna gan coz serikali sahv iko katika mpango wa kubadili nguzo za miti nchi nzima na kuweka za concrete ....
ni nyumba yangu mpya mpendwa ndio nasubiria umeme niingie
Kwanza tanesco hawachaji nguzo kama umeluoua nguzo umedanganywa nenda tanesco mkoani mtafute meneja,utafungiwa umeme leoleoHabari za muda huu,
Jamani ninaomba kuuliza, tulifanya process za kuomba umeme tangu mwezi wa saba mwaka huu, na tuliwatumia wakandarasi wa hapo hapo tanesco kutujazia na kutuchorea na kurudisha form tanesco Tanga Mjini.
Sasa siku hiyo hiyo alikuja mtu wa kufanya survey na akapima pima pale na kikubwa kilichotakiwa ni nguzo, tukakaa tukisubiri kuitwa kwenda kulipia nguzo iwekwe umeme uingie, tulisubiri mno kwenye mwez wa tisa nikapigiwa sim kama nilishapimiwa nikajieleza tayar wakanambia niende eneo husika niwaelekeze wao wanakuja, nikafika tukaelekezana wakaja wakapima tena baada ya hapo hicho kimya chake skukielewa ikabidi mimi nifunge safar mpaka hapo ofisini kwao.
Nikaomba kuonana na mtu wa kulitatua tatizo langu nikaonana na mama mmoja hivi hata usoni hakuangalii na jibu akataka tu namba na jina la form nikampa akanijibu ukiona tanesco wamekita nguzo kwenye hilo eneo ndio uje.
Nimesubiri kwa muda mrefu mnooo naomba kufahamishwa tatizo ni nini najua wahusika wapo humu nikimpigia yule mkandarasi majibu ni kama hayo sasa sielewi tangu mwezi wa saba had sasa naona zii.
Ulitaka waje hapo bila kutoa rushwa?unachekesha sanakuna binadam mnakera, hebu jiongeze bas
had namtafta mkandarasi it means nilishajipanga kwa njia hiyo ili mambo yangu yaende kwa haraka na siku alokuja mkandaras akaniletea na mpimaji hiyo n mwez wa saba nikakaa mwez wa tisa akaja mpimaji mwengine baada ya hapo kimyaaa na nilishaongea na mkandaras akanijibu sina haja ya yote hayo
Kitu kidogo Cha nini wakati amekwisha kamilisha taratibu zote?Bila kitu kidogo utasubiri sana!
Mmenipigia asubuh hii na wamesema wanasubiri budget ya mrad ...huyo uliempigia na hakuwa na tatizo sio mm....kwahyo nasubir hyo budgetTunasikitika kuwa tulikupigia simu ukasema hauna tatizo je hilo ni lingine?
Tunashukuru na taarifa zako zilishafanyiwa kaziMmenipigia asubuh hii na wamesema wanasubiri budget ya mrad ...huyo uliempigia na hakuwa na tatizo sio mm....kwahyo nasubir hyo budget
Utafika mbinguni haraka sana mkuu.Kitu kidogo Cha nini wakati amekwisha kamilisha taratibu zote?
Safi hayo ndio mambo ya digital..sasa mnatuambia twende ofisini tukapange foleni ya nin...wengine kazi zetu haziruhusu kutoka tokaTunashukuru na taarifa zako zilishafanyiwa kazi
hata hivyo sjalipia nguzo kabisaa yan mimi nimeishia tu kupimiwa na wamepima mara mbili watu tofauti hata control namba sjapewa na haya ni tangu mwez saba had leoKwanza tanesco hawachaji nguzo kama umeluoua nguzo umedanganywa nenda tanesco mkoani mtafute meneja,utafungiwa umeme leoleo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
mimi nilitaka kujua nisubiri had lini yan nitapigiwa sim lini kupewa control namba nikalipie nimesubir kiasi uvumilivu unanishinda kibaya zaidi kuna mtu ni jiran yangu na ninapokaa kafanya process mwez wa tisa kaekewa umeme juzi kwa kweli ndio alonitia kimuhe muhe mimi wa nyuma badoKitu kidogo Cha nini wakati amekwisha kamilisha taratibu zote?
Mtasubiri sana kwani kuna watu nguzo zimesimikwa August na Septemba lakini nyaya hamna hadi dakika hii.Sisi nguzo zimewekwa october hawajaweka wire, sasa sijui wanamaana gani na ni hapa tu kigamboni-kisarawe II