Nawajua watu wawili walikuwa na mikataba kama yako walivyopata opportunity hawakurudi... inategemea lakini hapa nyumbani uliacha nini, umri wako na malengo yako ya maisha...
Bongo patamu bwana asikwambie mtu...Huko nje kuzuri kutembea tu sio kuishi kwa mchakamchaka ule..