Nimemaliza masomo Canada ninahofia kurudi nyumbani

Nimemaliza masomo Canada ninahofia kurudi nyumbani

Ndgu rudi fasta chukua likizo bila malipo then zamia canada mazima.....hii itakusaidia hata kama ikitokea shida huko majuu utarudi bongo cheq no. yako inafunguliwa unaendelea kupiga mzigo kwa govnment
 
Rudi tupige miayo wote.
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.

Niijuavyo Canada, ukiwa "kipanga" watakupa "ofa" usiyo weza kuikataa, ikiwa mpaka sasa hujapewa "ofa" au ya kuendelea na PhD au kazi, basi elewa kuwa u poyoyo.

Maamuzi ni yako ubaki au uondoke.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Japo umeongea kimasihara ila ndio ukweli wenyewe.
Yaani akija tu vita ya kwanza itaanza kutoka kwa meneja wake kwa kuhofia kupokonywa cheo

Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀😀 hii tz bwana kqI sana ukisema usisome kazi ukisema usome kazi yani hakuna raha kika kitu shida tupu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]anajiona yeye aliyesoma chato na jalalani ni genius kuliko waliosoma Europe na America

Sent using Jamii Forums mobile app
Naye amepata Masters yake nje pia. Zaid ya hayo Magufuli ana akili za asili haitaji elimu ya chuo. Magufuli ni Indigo Child. Indigo children huletwa na mungu. Hata ufanye nini wana letwa kutekeleza yale mungu ameyapanga.

Magufuli ni mtu wa calibre ya akina Yesu wa Nazareth, Isack Newton, James Watt, Bill Get na kadhalika.

Kusoman nje haikupi wewe garantii ya kuwa na maarifa mapana ya kutambua thamani ya binadam mwenzako. Mbona wengi wao walio pelekwa na Nyerere kusoma nje ndiyo hao walio shindwa kutambua kuwa rasilimali za watanzania ni kwa manufaa ya watanzania tu?

Ndiyo hao na usomi wao waliotuingiza sisi vichakani? Hao ndiyo watu walio tuteka sisi kiakili, kisiasa na kiuwezo wa kuamua mambo yetu wenyewe? Ndiyo hao walio tufanya sisi kuwa wategemezi? Ndiyo hao waliotuaminisha sisi kuwa hatuwezi chochote bali kuzaliwa na kufa tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu na mambo ya kutafuta hela Tanzania havihusiani kabisa.... HATARI SANA... kazi unaeza pata ila hela sahau ndugu 🤣🤣🤣🤣, hela za tz wanazo wahuni wa mjin na shule hawaijui daaah HATARI SANA....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiwa determined utatoboa... Rudi nyumbani upambane usisubiri ajira... Kumbuka mkataa kwao mtumwa....
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna factors nyingi za mtu kurudi nyumbani, homesickness yaweza kuchangia ukiachilia mbali sababu za msingi.

Kukaa kwa mabeberu miaka mingi nayo inachosha jamani.
 
Niijuavyo Canada, ukiwa "kipanga" watakupa "ofa" usiyo weza kuikataa, ikiwa mpaka sasa hujapewa "ofa" au ya kuendelea na PhD au kazi, basi elewa kuwa u poyoyo.

Maamuzi ni yako ubaki au uondoke.
Na kama scholarship yake inamtaka kurudi akimaliza kusoma ataweza pewa hiyo ofa ua inakuaje?
 
Back
Top Bottom