Nimemaliza masomo Canada ninahofia kurudi nyumbani

Nimemaliza masomo Canada ninahofia kurudi nyumbani

Watu wanafikiri huko majuu life ni kama kumsukuma mlevi, ndo maana tunamuuliza mtoa mada baada ya kukaa huko na kusoma masters akili yake inamtuma kufanya nini, maana wengine tumefanya hadi PhD na bado tumerudi home..
Mimi Nina rafiki yangu Yuko Norway anasoma na huwa anapiga part time job Kama zote ....

Huyo mzungu itakuwa kawapiga change la macho .... Wenzetu Kama huna kazi unapokea unemployment benefit kila mwisho wa mwezi... Kitu ambacho bongo hatuwezi kuwa nacho labda miaka 10000 ijayo...

Mleta mada inaonekana Ni mtoto wa mama , ningekuwa mimi hata kuomba ushauri humu nisingeomba maana ningejua serikali ya canada ingejua umafia ninaoenda kuufanya....

Yani upo Canada jirani na Marekani ... Sema Tena Marekani "The Land Of Opportunity" ... Unakuja kutuuliza kuwa urudi bongo .... Tuombe kwanza msamaha !!!

Tafuta libibi upige hata ndoa mzee ... Au Tafuta kademu uwe nako then jaza mimba .. ukipata kila kitu Rudi kwenye rangi yako ya kizaramo mzee baba ...

Hiyo fursa angeipata Mnigeria au Kenyan angekuwa anachekelea tu ...

Njia nyingine ya kubaki huko nenda Pale Bombadier ukakinukishe kwanini wanashika Ndege zetu , magufuli anaweza kukufikiria na uteuzi wowote hapo ubalozini Canada na utabaki hapo ukifanya kazi ya kutoa kichapo kwa beberu yoyote anathubutu kukamata Ndege zetu tunazozitoa hapo kiwandani....

Chagua inayokufaa hapo juu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo utumbuliwe!!

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.
njoo ujiunge na CCM mambo yako yatanyooka.
 
Tafuta fursa weka makaratasi vizuri kisha rudi kumuaga mwajiri kistaarabu, ila kama unaona kuna hatari ya kutoondoka tena ukifika huku, maisha popote itumie fursa vizuri usije kujuta baadae.
Muhimu ni kulinganisha fursa ya huko na kazi ulitonayo huku, kisha fanya maamuzi.
 
Kuna singeli moja niliisikia inasema "mwanangu ukitoka usirudi" naishia hapa......
 
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.
Inategemea umesomea nini. Kama utaona elimu yako ina manufaa kwa watanzania na itasaidia kubadili mambo fulani nchini na kukifanya Taifa letu lisonge mbele na wewe mwenyewe kuwa katika Position nzuri ya kimaisha na familia yako baadae, nakushauri urudi maana nchi yetu ina wahitaji watu kama nyinyi ambao watasidia nchi yetu na watanzania kwa ujumla kupiga hatua ya kimaendeleo. Kama haita tosha Tanzania hivi sasa kama una maarifa mazuri kuna fursa kem kem.

Lakini kama ukiona elimu yako uliyoipata haita saidia chochote katika kusaidia kulisikuma Taifa letu linsonge mbele ila kwa manufaa yako na familia yako tu baadae, basi mimi ningekushauri urudi kwanza nchini ufuate taratibu zote za kiutumishi wa umma ulizokubaliana na serikali, nadhani kuna mikataba au makubaliano fulani mliyaweka, kama yapo, alafu ufanye hiyo Process ya kurudi tena Canada kama hiyo nafasi itakuruhusu.

Kwa vile Tanzania hatuko katika vita itakuwa vigumu wewe kuomba ukimbizi uko, utapata shida, kwani serikali ya Canada ina weza ikakutarudisha nyumbani kinguvu kama mtu aliye taka kuzamia kiholela nchini mwao na hiyo inaweza kukukosa rafiki yangu. Usiporudi serikali ya Tanazania itakuona wewe kama mtoro wa kazi na msaliti at the same time. Utapoteza nafasi yako ya kazi ya utumishi.

Kwa jinsi ninavyo jua Canada una possibilities mbili tu za kuendelea kukaa huko kama sio mkimbizi aidha wa kisiasa au kivita, ni kuoa au kuolewa na mkanada au kama umepata kazi kwenye kampuni ambayo inakuona wewe ni mtu wao unaye faa kwa Performance yako kikazi na uko very crucial, wao wenyewe watakuombea kibali cha kufanya kazi huko, I think.

Zaid ya hayo siwezi jua hali jinsi Canada ilivyo ila kama ingekuwa Europe ningekushauri urudi maana Europe kwa hali jinsi ilivyo sasa na huko tunako kwenda, kwa sisi Mabantu na Maniger tunaweza kuwa na shida sana. Ma-right wings au Radicals wako katika kila nchi ya Europe. Mpaka nchi kama England na France zina kuwa na watu wanao waza kufanya mambo ya racialism, ime ni disappoint kiasi kikubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Una fursa ya uhakika kupata kazi na kusettle huko,tokomea. mwajiri wako atakufukuza kwa utoro. Ila kama hauna uhakika Sana rudi Tu upambane na jamaa zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanafikiri huko majuu life ni kama kumsukuma mlevi, ndo maana tunamuuliza mtoa mada baada ya kukaa huko na kusoma masters akili yake inamtuma kufanya nini, maana wengine tumefanya hadi PhD na bado tumerudi home..
Norway ..Denmark kupata kazi so rahisi. Na hata ukipata pesa yako itaishia huko kutokana na kodi
 
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.
Kwani mkataba wa kazini kwako unasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,

Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.

Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.
Mkuu naomba connection mkuu hata link ya kuja huko kusoma master 2022 nataka nikasome masters kwa scholarship

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa boss kama mfungwa tu aliye jera tena jera ya tz anagoma kutoka jera kuja mtaani anaogopa ugumu wa maisha mtaani wewe ndio unataka kutoka ulaya uje tz[emoji3][emoji3][emoji3]

Haya bwana njoo, ukutane na fitna na figisu za kiswahili ofisini tena ofisi za umma umetoka ughaibuni kusoma utapigwa ndumba wewe kama siyo mlevi utaanza kunywa pombe nakushinda bar, ili waanze ona katoka ulaya kawa mlevi tu[emoji3][emoji3][emoji3] bongo nyoso baki ulaya hali ikiwa nzuri njoo nyumbani.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Japo umeongea kimasihara ila ndio ukweli wenyewe.
Yaani akija tu vita ya kwanza itaanza kutoka kwa meneja wake kwa kuhofia kupokonywa cheo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom