Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Lini ushaona mimi nakaa sehemu isiyo na hayo makitu na kaka zake?Wine zipo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini ushaona mimi nakaa sehemu isiyo na hayo makitu na kaka zake?Wine zipo??
Poapoa ntakuunganisha usijalii..ila sijui sana kama wanatumia mtandao pendwa[emoji41]Khaa!si waje jamani!seriius mie nikipata hela ndef najikataa mazimaaa!mambo yakikaa sawa naagiza watoto waje!mwarabu ataendelea kumtumikia Magu![emoji28]!
Ukisikia kuna bwana mzungu anahitaj mbongo nishtue!
Yaani mfungwa gerezani anagoma kuachiwa huru aje uraiani...
Afu mtu yuko ughaibuni anataka aje uraiani...
Kweli vichwa vimetofautiana ubongo...
Unasema Norway...Kuna mzungu yupo bongo hapa toka Norway anasema hakuna kaxi huko anahahaSasa unarudi kufanya nini huku mkuu.. jitupe norway,Sweden,Germany,Finland,South,nk. Kwa sasa huku elimu yako hai-worth kitu. Utakuja na master yako afu ukabebeshwa mabeseni ukauze ulipwe kwa cammisions..
Kama huna connection za uhakika huku jilipue huko huko kiongozi ata ukapige Dishwasing
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] dege letu lini laja jaman aje nalo
Ataambiwa "alienda Canda kusomea upumbavu?"U-DC halafu unatukanwa mbele ya hadhara, unaambiwa na kwenda kote Canada umetuletea upuuzi huu, si bora ungebaki hukohuko.
Kwa nini uhofie kurudi nyumbani Mkuu? Au unatuzuga kwa kuwa ulishirikiana na MKULIMA kuzuia BOMBADYEE iliyoachiwa majuzi kati? (Jokes).Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,
Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.
Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.
Akirudi Huko anaweza asipate fursa ya Kwenda Canada TenaRudi nyumbani uwaage ndugu,jamaa na marafiki,then urudi Canada rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,
Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla sijaja masomoni.
Muda wangu wa masomo unakaribia sana kuisha na ninaona nafasi za ajira na maisha bora huku niliko kuliko nyumbani. lakini ninawaza nitafanyaje juu ya mkataba wa kazini Tanzania na kama ni maamuzi sahihi kubakia huku baada ya masomo yangu.
Watu wanafikiri huko majuu life ni kama kumsukuma mlevi, ndo maana tunamuuliza mtoa mada baada ya kukaa huko na kusoma masters akili yake inamtuma kufanya nini, maana wengine tumefanya hadi PhD na bado tumerudi home..Unasema Norway...Kuna mzungu yupo bongo hapa toka Norway anasema hakuna kaxi huko anahaha