Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796
Jmn njoo Kwangu
Mi uwe unanipa mwenyewe tu sikuombi😅😅😅😅🤣🤣🤣

Tuache utani Kuna watu Wana bahati🙌
 
Next time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.

Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".

Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..

Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...

Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.
Khaaaa
 
Hizo unapewa tu kwa mfumo wa zawadi 🤣
Mmh huo ubahili ss jmn

Kwahiyo nataka kwenda saluni niseme
Nataka kwenda kupaka rangi niseme
Nimeona kitu kizuri nimekipenda niseme
Nataka kiatu,nguo niseme🙌🙌🙌😳
 
Back
Top Bottom