Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Jmn njoo KwanguAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Acha ubahili banaaaπUpuuzi pro max, mi hela tunaila tukiwa wote. Hayo mambo ya kutumiana laki 3 hayapo π€£ labda uwe na ishu sensitive mno sio mambo ya bebi ya nna shida nayo tu!
Amini kwambaπ€£Acha ubahili banaaaπ
Unatoa kutokana na uwezo wako300k take home yangu hiyo.
Hasa unataka uwe unatoa elf 10 jmn wakati uwezo upo?π€£Amini kwambaπ€£
Kwa hiyo wifi yangu akitaka pesa mfano ya saluni hakuna kutuma mnaenda saluni wote ukalipie huko huko [emoji23][emoji23]Upuuzi pro max, mi hela tunaila tukiwa wote. Hayo mambo ya kutumiana laki 3 hayapo [emoji1787] labda uwe na ishu sensitive mno sio mambo ya bebi ya nna shida nayo tu!
Kwa mfano hapo maximum nionge ngp?Unatoa kutokana na uwezo wako
KhaaaaNext time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.
Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".
Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..
Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...
Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.
Ushasema wifi, huyo anajua password kuanzia benki hadi za mobile money. Yeye ni kutoa taarifa tu ila ana ruhusa ya kuchukua mzigo muda wowote akiwa na uhitaji.Kwa hiyo wifi yangu akitaka pesa mfano ya saluni hakuna kutuma mnaenda saluni wote ukalipie huko huko [emoji23][emoji23]
Dah hua inakeraaBudah unapendewa pesa mazee nothing more mi sipendi mwanamke aseme nakupenda aikiwa anatangaza shida zake,
Ishu ni kwamba unahitaji hela ya kazi gani. Maelezo yakijitosheleza unakula kibunda ila kama ni ishu za kijinga huli hata buku. π€£Hasa unataka uwe unatoa elf 10 jmn wakati uwezo upo?π€£
Jmn hivi ni kuhonga eeh?Kwa mfano hapo maximum nionge ngp?
Safi [emoji106][emoji106]Ushasema wifi, huyo anajua password kuanzia benki hadi za mobile money. Yeye ni kutoa taarifa tu ila ana ruhusa ya kuchukua mzigo muda wowote akiwa na uhitaji.
π π πIshu ni kwamba unahitaji hela ya kazi gani. Maelezo yakijitosheleza unakula kibunda ila kama ni ishu za kijinga huli hata buku. π€£
Wakati huo umejitolea TAESA wanakupa laki na nusu ya kujikimu π€£π€£π€£Yaani wanalalamika utafikiri kalazimishwa...laki tatu sio hela ya kuja kufungua uzi hapa...ameniboaa
Hizo unapewa tu kwa mfumo wa zawadi π€£π π π
Jmn hata nikitaka kwenda kununua nguo za ndani napo niseme?
Khaaaa
Demu??? Mademu.Jmn hivi ni kuhonga eeh?
Mi najua ni kumhudumia demu wako kulingana na mahitaji yake
Na tunatofatiana
Mmh huo ubahili ss jmnHizo unapewa tu kwa mfumo wa zawadi π€£
π€£π€£Si ndo wanaoongelewa hapa,mademu ,michepuko etcDemu??? Mademu.
Nani ana demu mmoja nioneshe hapa.
Lkn wanaume na nyie kinachowaponza mna kuwa na videmu huku na kule ndio mana vizinga vikianza lazima penzi life. Nawaza kama jamaa demu mmoja anaomba laki3 na labda anao kama wanne hivi lazima akimbie [emoji23][emoji23][emoji23]Demu??? Mademu.
Nani ana demu mmoja nioneshe hapa.