Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hahaa sasa nikamuuliza ok leo nitakupa hela itakusukuma siku kadhaa, vipi siku zinazofuta akanijibu siku za mbele nitajua nini cha kufanya.Hahahah kaishiwaje huyo au analipa kodi Masaki
Hahahah ukimpa tu utashangaa ana iphone 14 🤣🤣🤣Hahaa sasa nikamuuliza ok leo nitakupa hela itakusukuma siku kadhaa, vipi siku zinazofuta akanijibu siku za mbele nitajua nini cha kufanya.
Nilivyosikia tu hilo jibu lake nikampuuzia sijampa hata mia hadi sasa. Najua kuna kitu anataka anunue au afanye ila amenidanganya kuwa ameishiwa ya kula ili atumie hela zangu zake anazionea ubahiri
Anayetunzwa na kuhudumiwa ni mtoto wa mama mkwe aliyehalalishwa tu mama ya watoto wangu
🤣🤣🤣 si ndio shenzi sana hawa wanawake ombaomba. Sasa alipolala yeye ndipo nilipoamkiaHahahah ukimpa tu utashangaa ana iphone 14 🤣🤣🤣
Wana hilo tatizo. Anataka nawe uwe kila wakati unamsifia. Akisifiwa nje anaona wewe humpendi ila wa nje ndo wana mpenda au kumthamini. Anasahau kuwa upo naye sababu ulimpenda na unaendelea kumpenda.Ndio ilivyo hvyo ninachosema ndicho nilichopitia nilimfungulia mirad akafilisi akisifiwa kidogo Na wateja ananiona mimi sijui kupenda wala kujar mwisho Wa siku akasema hata nisipofungua Hii mirad pesa ni za kwako kuwa makini sana Na hawa viumbe tafuta furaha yako mwenyewe YULE sahihi atakuja tu
Changamoto sanaWana hilo tatizo. Anataka nawe uwe kila wakati unamsifia. Akisifiwa nje anaona wewe humpendi ila wa nje ndo wana mpenda au kumthamini. Anasahau kuwa upo naye sababu ulimpenda na unaendelea kumpenda.
Jamani. We si utakuwa tayari umeshawahiwa? We can be friends na kuangalia kama tunafaana.Em Njoo kwangu [emoji846]
Ghafla ameacha kukupenda😂Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Ile yenye 80 mwishon [emoji23]Niweke kwa namba ipi sasa? [emoji1787]
Anapaswa kupigwa classic mechi 😎 😎 back and forthNi chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Kuna mmoja hata kumla sijamla kila saa analia shida nimemuacha kimya kimya anapiga simu inaita unakata no response lazima tuondokane na jamii za wanawake wa staili hii wanatia umaskini kinoma
Nipe namba yake.. mkuu kama humtakiAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Nenda na wa size yakooMwanamke kama Hana akili ukifuga ujinga utakuua mapema mwanaume asie jiamini Na asie Na maamuz huwa ndio wanafuga ujinga wakiamin ndio upendo kumbe unateketekea unakuwa mtumwa
Hii Chai sasa.Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Kama ulikuwa hujui basi habari ndio hiyo.Next time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.
Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".
Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..
Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...
Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.
Vijana wengi hata wabab wengi sasa hivi wanamaisha magumu sio kwa sababu huko nyuma hawakuwa kupata pesa au vipato vya kuwaendeleza. Bali walijikita kwenye kuhonga.Kuna mmoja hata kumla sijamla kila saa analia shida nimemuacha kimya kimya anapiga simu inaita unakata no response lazima tuondokane na jamii za wanawake wa staili hii wanatia umaskini kinoma!
😅😅😅umefanya jambo jema.
huyo mwanamke ni kausha damu
🤣🤣🤣Kaka km kaka,🙌Tusipangiane, anayetiboka na asiyetoboka wote tunaishi na kila mmoja na shida zake
Nakosea dadangu?🤣🤣🤣Kaka km kaka,🙌
Wanaoelewa hiki ni wachache sn mkuu!Vijana wengi hata wabab wengi sasa hivi wanamaisha magumu sio kwa sababu huko nyuma hawakuwa kupata pesa au vipato vya kuwaendeleza. Bali walijikita kwenye kuhonga.
Imagine una kipato cha laki moja kwa wiki. Kila week unatoa 30 kwa mwanamke. Ukitoa za kwako za matumizi unabaki na ngapi?
Utaishia kulauma ccm tu kwamba haileti ajira na maisha magumu miaka inaenda miaka inarudi.
Wanaume wengi pesa zimeishiwa kwa wanawake.