Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Bongo hao ndo classic chicks 😂😂

Huyo wako aisee , bongo si tutamuitaje 😂😂
 
She's high maintenance. Tshs. 300k anaiomba kama buku? Halafu kuna mahala umesema analipwa Tshs. 2M iweje ashindwe kutatua vishida vidogo vidogo na hana majukumu? Kaa mbali na huyo mjinga.
 
Ukishakuwa na shida ya hela, halafu unamganda boyfriend, anakwambia hana, unamsuta ubahili, ujue hapo ushashuka madaraja kadhaa kutoka kuwa classic chick unaenda kukimbilia ligi ya common whore.
japokuwa ni lugha ngumu umetumia ila nakubaliana na wewe 100%
 
Watu mna kaza roho,mimi mwanamke nikimpa hela nyingi sana haizidi elfu 50,tena ni kwa mbinde 😄😄 mpk itoke kafanya kazi
 
Mkuu, mwendelezo wa convo yenu utakuwa umeishaje, nawaza tu hapa.😀

Wanawake wa hivi hawafai, japo naona yeye kaiona 300k ni hela ya mboga tu. She's classic, maisha ya juu, hafikirii kesho yako...
😀😀😀Kwakweli kunawanawake Wana bahat sana wengine kipato Cha laki 2 tunawaza kujenga majumba wengine wanawaza kuchezea laki 3
 
Mpe pesa,muoshe na pesa, mpige na pesa mwanamke wako, mkumbatie kwa pesa.
 
HAKUPENDI NA HAUMRIZISHI KITANDANI HIVYO AMEONA AKUKOMOE KWA MTINDO HUO SABABU WEWE NI KING'ANG'ANIZI NA UNA CHOGO NA MACHO DUNGU
 
Na maisha haya pesa ilivo ngumu inabidi iheshimiwe bhana huyo n jin mfilisi shtuka bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…