Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Classic chicks hawana shida ya hela. Labda wanaweza kuwa na shida ya ku spend time na mtu.

Na ikitokea kwa nadra wakawa na shida ya hela wana resources nyingi. Wanajua kwao it is embarassing kuomba hela ovyo.

Ukishakuwa na shida ya hela, halafu unamganda boyfriend, anakwambia hana, unamsuta ubahili, ujue hapo ushashuka madaraja kadhaa kutoka kuwa classic chick unaenda kukimbilia ligi ya common whore.

Nilikuwa naye mmoja hapa US, nyumba Masaki, nyingine Mikocheni. Yeye tatizo lake si kupata hela, tatizo lake kuingiza hela Bongo, ile limit ya $10,000 ni ndogo sana. Nikawa namsaidia kupitia network zangu za Wall St.

Mtoto mkifanya mtoko mnagombania kulipa bill.

Ukiamua kumnunulia zawadi uamue tu, lakini huombwi hela hata siku moja.

Mtu akiniambia huyu classic chick naweza kuelewa.

Huyo anayelazimisha kupewa 300,000 ni maigizo ya classic chick labda.

Mnaendekeza uombaomba wa kimasikini halafu mnajiita classic chicks?

Acheni ujinga.
Bongo hao ndo classic chicks 😂😂

Huyo wako aisee , bongo si tutamuitaje 😂😂
 
She's high maintenance. Tshs. 300k anaiomba kama buku? Halafu kuna mahala umesema analipwa Tshs. 2M iweje ashindwe kutatua vishida vidogo vidogo na hana majukumu? Kaa mbali na huyo mjinga.
 
Ukishakuwa na shida ya hela, halafu unamganda boyfriend, anakwambia hana, unamsuta ubahili, ujue hapo ushashuka madaraja kadhaa kutoka kuwa classic chick unaenda kukimbilia ligi ya common whore.
japokuwa ni lugha ngumu umetumia ila nakubaliana na wewe 100%
 
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796
Watu mna kaza roho,mimi mwanamke nikimpa hela nyingi sana haizidi elfu 50,tena ni kwa mbinde 😄😄 mpk itoke kafanya kazi
 
Mkuu, mwendelezo wa convo yenu utakuwa umeishaje, nawaza tu hapa.😀

Wanawake wa hivi hawafai, japo naona yeye kaiona 300k ni hela ya mboga tu. She's classic, maisha ya juu, hafikirii kesho yako...
😀😀😀Kwakweli kunawanawake Wana bahat sana wengine kipato Cha laki 2 tunawaza kujenga majumba wengine wanawaza kuchezea laki 3
 
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796
Mpe pesa,muoshe na pesa, mpige na pesa mwanamke wako, mkumbatie kwa pesa.
 
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796
HAKUPENDI NA HAUMRIZISHI KITANDANI HIVYO AMEONA AKUKOMOE KWA MTINDO HUO SABABU WEWE NI KING'ANG'ANIZI NA UNA CHOGO NA MACHO DUNGU
 
Back
Top Bottom