Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Una uhakika usemayo lkn?Wenzetu wanapata wap watu wa hv jaman. Watu tunapauka na shida ah jaman had wivu mi hata nkipewa laki kwa mwez si nngetemea wanaume mate huko nje😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika usemayo lkn?Wenzetu wanapata wap watu wa hv jaman. Watu tunapauka na shida ah jaman had wivu mi hata nkipewa laki kwa mwez si nngetemea wanaume mate huko nje😂😂
Hivi huwa mnawapata wapi mademu ombaomba?Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Una tabia mbaya we dada, kila nakuonya hunisikii😂😂😂Tatizo mnapenda slay queens wenye big bum, siye wenye flat screen hamtutaki, haya pambana sasa
Bado nawewe ni walewale,mnatofautiana viwango vya kuomba hela.Muwe mnaomba kufunguliwa miradi,siyo hela kila mara.Wenzetu wanapata wap watu wa hv jaman. Watu tunapauka na shida ah jaman had wivu mi hata nkipewa laki kwa mwez si nngetemea wanaume mate huko nje😂😂
Wewe unaleta mapenzi ya kweli mwenzio yuko kibiashara zaidi..wewe unamuona kama girl- friend, yeye kapata buzi la kuchuna..lazima kiumane hapo..Mzee jikate kimyakimya...kiutu uzima...usitoe kashfa wala kulalamika...Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
VIngine havina justification kabisa, ni utumwa tuWakati wewe unatarajia kuonesha upendo mwenzako anatarajia pesa yako ! Ni kama biashara yaani wewe umpe pesa yeye akupe sex! Kama lengo awe mke basi niseme tu hamna malengo yanayofanana.
Mkuu utatukana muda si mrefu 😀😀 "nakuinya" ndiyo nini😀Una tabia mbaya we dada, kila nakuinya hunisikii😂😂😂
Ongezea na andiko la Wagumu waraka Wa pili:2:3-4 kinasema " aijuaye kesho yake, bahariaaaa asihonge mana pesa mtaani ngumu, sio poa!". Mwisho wa kunukuuAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Hapo ni vile unatumia uume wako, ingekuwaje kama na uume angekua anakuazimisha uutumie kumchapa nao, halafu ukimaliza unamrudishia?Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Nimeandika kwa hasira sana🤣🤣Mkuu utatukana muda si mrefu 😀😀 "nakuinya" ndiyo nini😀
They wont give you any classic servises.ni mfuluzizo wa drama tu .Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Punguza jazba mkuu utatukana wachumba humu shauri yako😀Nimeandika kwa hasira sana🤣🤣
Unasutwa ubahili kwa hela zako mwenyewe mkuu.Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Wewe ndo dhaifu, hakuna mwanamke anaweza nambia huo ujinga
Ukisoma hyo convo "nusu" tuliyowekewa, unaona jamaa wiki iliopita alituma 150k(probably na ya kutolea pia).
Its probable, tangu wanaanza hii safari mwamba alijionesha kua anaeza kumwaga chambi full time any time kwa kias chochote.
So msingi wa mapendo yao ni fedha.
So, huyo mams, yeye anaendeleza walipoishia, but jamaa kapauka katikati ya barabara.
Maana hajatueleza vyote zaidi ya ku complain kwenye pesa sijui na simu mpya.
Ye amepata nini so far?
Classic chicks hawana shida ya hela. Labda wanaweza kuwa na shida ya ku spend time na mtu.Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Huu mwandiko ni kama naujua..Next time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.
Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".
Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..
Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...
Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.