Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Habarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwa muda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota.
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nilifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio damu yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja naturaly.
Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaani naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu. Nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu. Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala sina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kuna muda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.
Kingine nilichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana. Yeye akaenda chuo ambacho ni kama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje. Matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko.
Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida halafu anatoka na uniform kuingia guest ni tabu tu. Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yangu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.
Nimeendelea hivyo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepuka, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nilikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.
Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia. Huwa naangalia chain ya wanawake niliokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngono saaaana. Yeye ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawake. Hata kumwoa sikuchukua muda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa sasa nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30.
Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mimba alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungua sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7nsasa.
Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye familia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao naona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka Tanga, Arusha, Zanzibar, au Kigoma awe kama mke mdogo.
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nilifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio damu yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja naturaly.
Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaani naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu. Nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu. Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala sina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kuna muda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.
Kingine nilichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana. Yeye akaenda chuo ambacho ni kama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje. Matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko.
Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida halafu anatoka na uniform kuingia guest ni tabu tu. Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yangu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.
Nimeendelea hivyo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepuka, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nilikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.
Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia. Huwa naangalia chain ya wanawake niliokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngono saaaana. Yeye ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawake. Hata kumwoa sikuchukua muda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa sasa nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30.
Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mimba alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungua sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7nsasa.
Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye familia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao naona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka Tanga, Arusha, Zanzibar, au Kigoma awe kama mke mdogo.