Nimemchukia mke wangu

Nimemchukia mke wangu

"Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngona saaaana. Yy ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawaka. Hata kumwoa sikuchukua mda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi." Tatizo linaanzia hapa mwanamke kampatia kwenye simu hajamchunguza Hana uzoefu kwenye mapenzi kakurupuka kuoa [emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume ndiyo nguzo katika familia, nyumba hujengwa na nguzo ila kama nguzo zikawa sio imara zikajengwa na ratio ndogo ya cement hapo hakuna nyumba, wewe ni mfano wa nguzo dhaifu, umeshindwa kuitetea familia yako umeishia kutembea na michepuko then unakuja unasema unampenda mkeo, umemtafutia visababu vingi sana ukasahau yako, mahusiano ni two way kama wewe tabia zako mbovu mkeo pia atakua na tabia mbovu tu, hujajijenga kikamilifu mwanaume ni sharti usimame na familia yako kile kiapo cha kanisani kuishi kwa raha na shida na mpaka kifo ni hukumu hiyo tayari umeshajifunga, kutafuta mke wapili unahisi umetatua tatizo, nyama ni hile hile bucha ni tofauti
Ubarikie Icee
 
Walipo andika " akamfanyia wakufanana nae"hamkuelewa tu?

Kosa ni lako ww mwenyewe ndio chanzk cha yote hayo. Hile ACTION ulio ionesha ya kutokumpenda/kumjari mtoto wako wa kwanza (ambaye niwa kwanza kwake) ndio ilileta yote hayo, alichokifanya yeye ni kuonesha REACTIONS kwako kwa tabia yako ya kibaguzi. Rudisha upendo kwa mtoto wako wa kwanza na yeye atakupa positive reaction kwenye mapenzi yenu.

Michepuko ni njia bora ya kusaidia kuvunja/kuharibu familia yako, usikimbilie kuchepuka kwa kuhisi unatatua matatizo yako.
Kaa nae chini muongee umwambie makosa yake na ww umpe nafasi ya kuongea yaliyo moyon mwake then msamehane muanze upya.

KUMBUKA DHAMANA YA NDOA YENU IPO MIKONONI MWENU NINYI WENYEWE
Ubarikiwe sana.
 
Mkuu pole sana, nashauri uoe tu maana huko mbele unaenda kuteseka mno dalili...ni mawingu mkuu.
 
1.wanaume mnapenda kuwa namwanamke aliyejificha tabia..yani kwenu ninyi mwanamke akishaonyesha tabia zake kabla ya ndoa mnampiga chini na kumuona hafai..kumbe ulikuwa una uwezo wa kuangalia mapungufu ya tabia kama yanatekebishika ukamwambia badilika moja mbili tatu na mambo yakaenda,so unaenda ishi na mtu angalau unamfahamu.utasikia nataka kuoa mwanamke mfia dini😄sasa hakuna wanawake wanamambo mengi kama hao(ingawa si wote)hao wakija kuufahamu ulimwengu wa nje ya kufia Dini umekwenda na maji sheikh.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu katika hii dunia cha msingi ni kujua na namna ya kuishi na kuchukuliana.upendo na kusameheana vikitawala kati yenu.

2.hakuna haja ya kumchukia malaika wa Mungu(mtoto)bila sababu.kama una wasiwasi juu ya huyo mtoto nenda kimya kimya kacheki DNA ikijulikana si wako hakuna haja ya kuendelea na hiyo mwanamke maana huo uongo wa kukubambikia mtu mtoto umezidi levels zote.hauvumiliki.

3.hizo tabia za mkeo mpaka kufikia hapo..wewe mwanaume ndie uliyeruhusu huo ufala wote.mwanamke ni lazima aijue nafasi yake kama mwanamke sio akupande kichwani.halafu Huyo mwanamke inaonesha ana mwanaume mwingine Chief.
Kingine nyie wanaume pia jitahidini kuwa wabunifu na romantic kwa wake zenu.hata nyie huwa mnajisahau pia.mnaamini kuwa mwanamke ni kumhudumia tu na kumfanya fyoko fyoko kitandani 😏

4.michepuko si suluhisho kabisa aiseh.tafuta muda wa kukaa peke yako sehemu iliyotulia(hapo usihusishe mchepuko kwenye safari yako)Hebu nenda kajitafakari kwa kina kama watoto wako ndio wanaokupa sababu ya kuishi na kufurahia maisha tafadhali tafadhali kuwa na muda nao.usiwapeleke boarding school ili upate muda sahihi wa kufurahi a nao.tafuta fuckmate ruhusu maisha yaendelee.ukiwa siriazi na mahusiano ya nje hakuna hatua kwenye maisha utapiga na hata hayo mahusiano ya nje yanamambo meusi mno..ukubali ukatae mwanaume hautakuwa peke yako kwenye maisha ya nje....

5.pole kwa changamoto unazopitia chief.aliyepewa kucha hana upele,mwenye upele hana kucha.mapenzi ya kindezi sana *****
You put Wrong advice this why "never take advice to fish how to fishing fish"🤔 eti nenda seheme ukae huanze kufikiria,kufikiria nini tena.mke kama huyu jibu ni moja smash out
 
Pole mwamba, kuwa kichwa cha familia lazima uwe na akili nyingi sana, niseme tu kuwa wewe unayumba kama kichwa cha familia.

Suala la mtoto si wako limeadhiri sana mtazamo wako kuelekea mkeo, usipo angalia, nyumba itaharibika, utapata maradhi na hata hiyo furaha unayoitafuta huta ipata kamwe, suluhu si kuoa tena, suluhu ni kujenga nyumba yako ulianza kuvuja.

Fanya kama mtu mzima, Kwanza mkubali huyo mtoto mtunze kama mtoto wako, mpe mapenzi yote, usimbague, huwezi kujua huko mbeleni atakusaidiaje, tuna mifano mingi sana hata sisi familia yetu kuna mtoto mmjoa inaonekana si baba yatu, tulipata taarifa kwa watu, lakini inaonekana mzee alipambambana sana hilo lisituadhiri, alitupenda wote kama watoto wake.

Mwisho wa siku huyo mtoto ndiyo yupo karibu na wazazi kuliko sisi wengine, amepata kazi nzuri ana mshahara mzuri, kukiwa na tatizo home yeye ndiyo wa kwanza kufika na kutupa taarifa.

Kifupi kama wahenga walivyosema kitanda hakizai haramu, huyo mtoto si haramu.

Pili, Mawasiliano na mkeo ni muhimu sana, mwendo unakwenda hautawasaidia, watoto wanakuwa mwisho wa siku nyumba itafarakana, jambo la kufanya tenga muda na mkeo, Tafuta mahali patulivu maambie una mazingumzo naye, Mweleze mwendo mnaokwenda nao sio,huko mbele ya safari itakuwa mbaya zaidi,mwambie umekaa umefikiri lazima tubadilike, mwambie unataka ndoa iweje, muishi vipi, wajibu wake no upi na wewe wajibu wako ni nini.

Jaribu kufufua mapenzi yale ya mwanzo, mwambie unachota, kama kunamahali ulimkwaza weka sawa, muanze upya, mweleze tamaa yako ya kutaka kurekebisha.

Kuishi na hawa wakina mama inahitaji akili sana, wakati mwingine unajishusha, lakini pambana kwa kumwambia bila woga, mambo usiyoyapenda anayoyafanya, Kukunyima unyumba ni kosa kubwa sana kwa mwanamke, mwambie hadhari yake.

Ukifanikiwa kufanya haya natumaini ndoa yako ita restore na utakuja kunishukuru hapa.
 
Vijana wenzangu mnapotea kwa kukosa maarifa, unajua makosa yako lakini au unamyoshea kidole tu mwenzako? Kwanza umenishangaza kumchukia mtoto pasipo sababu, kwanini unamchukia na kumbuka chuki haijifichi unahisi mkeo hajajua kama unamchukia mwanao chanzo cha ulofa wako kimeanzia hapo, kama huamini mtoto ni wako si kapime DNA, sipendi kuona mtu hatumii akili, ona sasa umeishia kuwa na wanawake 30 bado unasema unampenda mkeo
Simchukii mtoto hili sio mama ama mtoto anajua ni la moyoni mwangu. Mama anajua nampenda sana mtoto wetu
 
Naona wengi wameshauri na mimi niweke mchango wangu.....
I
i. Mpende huyo mtoto wako wa kwanza wala huna sababu ya kulinganisha sijui nini wala nini; Ukimpa shetani nafasi atashinda
Huyo ni mtoto wako wala hana kosa lolote na utashangaa akaja kuwa mkombozi wa kukusaidia ukiwa mtu mzima
ii. Kuhusu matatizo yako na mkeo
Naona tatizo la msingi la ndoa yenu ni kuwa; mwanammke hana ham ya kufanya mapenzi; sasa hilo ndio ungeshuhulika nalo sio kwenda kwa michepuko;
Kuna sababu nyingi hufanya mwanamke akose ham ya kufanya mapenzi; baadhi zaweza kuwa;
1. Stress/Mawazo - umesema anasoma hivyo ujue kama shule ni ngumu kwake hawezi kuwa na ham
2. Anatumia dawa za kupanga uzazi- baadhi ya dawa hufanya mwanamke akose ham ya kufanya mapenzi kabisa
3. Kusemwa/kugombezwa - mwanamke akigombezwa gombezwa hupoteza kabisa ham ya kufanya mapenzi
4. Humtoshelezi- mwanamke hukosa ham ya kufanya mapenzi kama mwanamme anajiangalia mwenyewe/hamfikishi
5. usafi - mwanamke hukosa ham kama mwenzi anapenda kufanya kabla ya kujiweka safi (kuoga+ mswaki)
6. Kuzaa - kuna wanawake wengi tu wakizaa; hamu ya kufanya mapenzi huweza kuongezeka au kupungua na changamoto hizo zinabebwa na wanaume na wala huwasikii wakilalamika mitaani kwa kuwa niwaelewa
7. nk

Huyo bado anaonekana kuwa mwanamke mwema; mpe nafasi kabla ya kumuhukumu kumbe yaweza kuwa makosa yanatokea kwako. Fuatilia hayo na mengine unaweza ukaona wapi unakosea
Binafsi mimi mpole kupitiliza ila very complex na mkorofi sana ikitokea nimevurugwa so sijawahi hata kumkatipia tunaishi vizuri tu ila tu shida ilopo ndo kama ninavyosema
 
Unahisi vipi kama mtoto si wako hali ya kuwa mke hajawahi kuonesha dalili ya kushit maana jamaa kwenye Uzi wake hajaandika mkewe aliwahi msaliti ninachoona kwake yeye ndiye hajatulia so anahisi na mkewe alikuwa hivyo akapatikana mtoto asiyefanana nae inachekesha[emoji2]
Ishu ya kunisaliti siwezi kuiongea hapa nitakuwa nimeji unmaski hiyo ndo inafanya mtu akisoma hawezi kujua nani anayeandika uzi
 
Alinisaliti vibaya sana sijasema mara nyingi wakati tukiwa wachumba
 
Pole mwamba, kuwa kichwa cha familia lazima uwe na akili nyingi sana, niseme tu kuwa wewe unayumba kama kichwa cha familia.

Suala la mtoto si wako limeadhiri sana mtazamo wako kuelekea mkeo, usipo angalia, nyumba itaharibika, utapata maradhi na hata hiyo furaha unayoitafuta huta ipata kamwe, suluhu si kuoa tena, suluhu ni kujenga nyumba yako ulianza kuvuja.

Fanya kama mtu mzima, Kwanza mkubali huyo mtoto mtunze kama mtoto wako, mpe mapenzi yote, usimbague, huwezi kujua huko mbeleni atakusaidiaje, tuna mifano mingi sana hata sisi familia yetu kuna mtoto mmjoa inaonekana si baba yatu, tulipata taarifa kwa watu, lakini inaonekana mzee alipambambana sana hilo lisituadhiri, alitupenda wote kama watoto wake.

Mwisho wa siku huyo mtoto ndiyo yupo karibu na wazazi kuliko sisi wengine, amepata kazi nzuri ana mshahara mzuri, kukiwa na tatizo home yeye ndiyo wa kwanza kufika na kutupa taarifa.

Kifupi kama wahenga walivyosema kitanda hakizai haramu, huyo mtoto si haramu.

Pili, Mawasiliano na mkeo ni muhimu sana, mwendo unakwenda hautawasaidia, watoto wanakuwa mwisho wa siku nyumba itafarakana, jambo la kufanya tenga muda na mkeo, Tafuta mahali patulivu maambie una mazingumzo naye, Mweleze mwendo mnaokwenda nao sio,huko mbele ya safari itakuwa mbaya zaidi,mwambie umekaa umefikiri lazima tubadilike, mwambie unataka ndoa iweje, muishi vipi, wajibu wake no upi na wewe wajibu wako ni nini.

Jaribu kufufua mapenzi yale ya mwanzo, mwambie unachota, kama kunamahali ulimkwaza weka sawa, muanze upya, mweleze tamaa yako ya kutaka kurekebisha.

Kuishi na hawa wakina mama inahitaji akili sana, wakati mwingine unajishusha, lakini pambana kwa kumwambia bila woga, mambo usiyoyapenda anayoyafanya, Kukunyima unyumba ni kosa kubwa sana kwa mwanamke, mwambie hadhari yake.

Ukifanikiwa kufanya haya natumaini ndoa yako ita restore na utakuja kunishukuru hapa.
Bro nampa kila kitu na ninaonyesha upendo wa hali ya juu kwake, ila sina ile feeling ya mzazi kwa mtoto wake, nafikiri umenielewa. Nampa kila kitu na mama yake hahusiki kwa kila kitu yaan yy hela yake nishamwambia ni yake ya matumizi binafsi. Hivo mshahara wake huwa siugusi
 
Back
Top Bottom