Mkuu hujaona kama jamaa ana matatizo?
kumchukia mtoto sababu pekee ikiwa ni kutokufanana kwa sura?
kukubali kupangiwa siku za kusex unahisi imesababishwa na nini?
kutafuta furaha yake kwa michepuko na kuhonga nusu ya mshahara wake!
kutoka na uniform tena kwani anasoma vetaHabarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwanmda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota.
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nlifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio dam yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja natulary. Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaan naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu, nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu, Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala hina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kunamda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.
Kingine nlichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana, yy akaenda chuo ambacho ninkama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje, matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko. Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida afu anatoka na uniform kuingia gest ni tabu tu.
Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yanfu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.
Nimeendelea hivo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepua, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nlikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.
Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia.huwa naangalia chain ya wanawake nilokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngona saaaana. Yy ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawaka. Hata kumwoa sikuchukua mda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa ss nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30
Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mima alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungu sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7sasa.
Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye fakilia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao maona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka tanga, arusha, zanzibar, au kigoma awe km mke mdogo.
unahisi na unafikia conclusion?Sidhani kama unafahamu jinsi inavyouma unavyohisi mtoto siyo wako? Labda nikugusie kidogo,humchukii mtoto,ila kama baba roho inakataa kuwajibika kwa kupenda,unakuwa unaforce kwa vile mahitaji mengine ni muhimu kwa mtoto.
Habarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwanmda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota.
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nlifurahia mapenzi ya mke kwa miaka 2 tu ya kwanza ya ndoa. Wakati namwoa mke wangu alikuja na mtoto ambaye alidai ni wa kwangu nami nikampokea, ila kadri siku zinavyosonga namwona kabisa mtoto huyu sio dam yangu kwani hana anachofanania na mimi tofauti tu na tabia kachukua za kwangu , nisichokula naye hali, si kwa kuniiga bali vinakuja natulary. Kingine sina ile parental feeling na huyu mtoto, yaan naweza kumpenda mtoto wa ndugu yangu zaidi kuliko huyu mwanangu, nimempeleka boarding school yaan hata sifikirii kana nina mtoto huko japo nawajibika kwa kila kitu, Amezaliwa mtoto wa 2 mwaka jana ni binti, huyu wala hina swali anafanana na mimi kama mayai, and ninampenda kiasi hata cha kutoa uhai wangu nikampa, huyu kunamda nakaa nimemwangalia tuuu hata sijui naangalia kitu gani.
Kingine nlichoanza kupata machungu ni kunyimwa papuchi, hii ilianza mwaka wa 2 wa ndoa nikawa napangiwa weekend tu ndo napewa, ilileta ugomvi sana, yy akaenda chuo ambacho ninkama 50km toka tunapoishi kwa makubaliano kuwa kila weekend aje, matokeo yake akawa anakuja kwa mwezi na baadae akawa anakuja wakifunga. Nikaona isiwe shida nikawa namfuata huko. Baadae napo ikaonekana ruhusa za kutoka ni shida afu anatoka na uniform kuingia gest ni tabu tu.
Nikaacha kuwa nakwenda, rafiki yanfu akanishauri nitafute mchepuko, nikafanya hivo hadi nikamsahau kabisa.
Nimeendelea hivo kwa maumivu maana sikuzoea kuchepua, baadae nikawa mzoefu nikaona ni haki yangu kuchepuka hata akinikamata nlikuwa namwambia unaweza kuondoka ama kutafuta mwanaume mwingine akuoe.
Shida nliyonayo sasa ni kuwa natumia hela nyingi sana kuchepuka karibu nusu ya mshahara wangu unaishia kwa wanawake. Sina mshahara mkubwa saaana, si wa chini pia.huwa naangalia chain ya wanawake nilokwishatembea nao ni wengi kidogo toka nlipooa. Nikiri tu kabla ya kuoa sikuwahi kufanya ngona saaaana. Yy ni kama alikuwa mwanamke wangu wa 3, hivo sikuwa na experience na wanawaka. Hata kumwoa sikuchukua mda wa kumfahamu maana tulikuwa tunaishi mikoa tofauti so tulitongozana kwenye simu tu na tukafikia hatua ya kuoana tukiwa tumekutana mara 2 au 3 hivi. Kwa ss nikihesabu nilokwisha date nao wanafikia hata 30
Sasa hivi sina hisia naye hata kidogo toka alipobeba mima alikataa kushiriki tendo la ndoa, na baada ya kujifungu sijamgusa wala kuomba papuchi na mtoto ana miezi 7sasa.
Kuna kipindi nafikiria kuoa mke mdogo niwe nao wawili, wasiwasi wangu ni dini nitatengwa hadi na ndugu zangu( hili sio tatizo kubwa sana najua litaisha kadri mda unavyoenda), ila tatizo kubwa sijapata mwanamke sahihi wa kuanzisha naye fakilia kama mke mdogo. Kila ninaokuwa nao maona sio wife material. Natamani sana kuoa mtoto wa kiislam kutoka tanga, arusha, zanzibar, au kigoma awe km mke mdogo.
🤣🤣🤣🤣🤣we jamaa umenichekesha kiboya sanakutoka na uniform tena kwani anasoma veta
📌📌1.Anakufumania mara kwa mara,huombi msamaha unamwambia kama anataka kuondoka aondoke,inaonesha yeye anakuvumilia ilihali umeshamchoka
2.wakati unamuoa hukuwa mzoefu sana kwenye masuala ya ngono,je unahisi unamridhisha kunako sita kwa sita?
3.kuhusu kunyimwa tendo mara nyingi inasababishwa na shoo mbovu kitandani,mwanaume mwenye shoo ya uhakika ananyimwaje sasa kwa mfano?inawezekana pia ukawa sio romantic mapenzi ni sanaa
Sikushauri kumuacha huyo mwanamke inawezekana akawa anakuvumilia kwa mengi kuliko unayomvumilia wewe
Unahisi vipi kama mtoto si wako hali ya kuwa mke hajawahi kuonesha dalili ya kushit maana jamaa kwenye Uzi wake hajaandika mkewe aliwahi msaliti ninachoona kwake yeye ndiye hajatulia so anahisi na mkewe alikuwa hivyo akapatikana mtoto asiyefanana nae inachekesha😃Sidhani kama unafahamu jinsi inavyouma unavyohisi mtoto siyo wako? Labda nikugusie kidogo,humchukii mtoto,ila kama baba roho inakataa kuwajibika kwa kupenda,unakuwa unaforce kwa vile mahitaji mengine ni muhimu kwa mtoto.
DuuhMbona mnatesana hivyo??
Si muachane.
Sipendi mijitu inanyima wenzao tendo afu inagawa kama bata nje.Tafuta mchepuko w kudumu kama unataka kuokoa ndoa yako.
Umeongea vizuri mkuu,tafadhali huyo ndugu mimi namshauri ,Vijana wenzangu mnapotea kwa kukosa maarifa, unajua makosa yako lakini au unamyoshea kidole tu mwenzako? Kwanza umenishangaza kumchukia mtoto pasipo sababu, kwanini unamchukia na kumbuka chuki haijifichi unahisi mkeo hajajua kama unamchukia mwanao chanzo cha ulofa wako kimeanzia hapo, kama huamini mtoto ni wako si kapime DNA, sipendi kuona mtu hatumii akili, ona sasa umeishia kuwa na wanawake 30 bado unasema unampenda mkeo
waliingia kwenye game wakiwa 1-0 mwenzake anaongoza kwa goli la ugenini,lazima apate moto ndoa c mchezo inahitaji wananume wa shoka walioaga kwao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapa kaua tena aliletewa na mtoto juu
Tatizo sio kumnyima, tatizo ni kwann amnyime? Ebu akupe sababu ndio utoe hukumu.Yaani mwanamke aninyime K" alafu Bado naishi naye?????heeheee
Kipendhiiiiiiih leo nkuletee nn? Sio kwa madini haya.1.wanaume mnapenda kuwa namwanamke aliyejificha tabia..yani kwenu ninyi mwanamke akishaonyesha tabia zake kabla ya ndoa mnampiga chini na kumuona hafai..kumbe ulikuwa una uwezo wa kuangalia mapungufu ya tabia kama yanatekebishika ukamwambia badilika moja mbili tatu na mambo yakaenda,so unaenda ishi na mtu angalau unamfahamu.utasikia nataka kuoa mwanamke mfia dini[emoji1]sasa hakuna wanawake wanamambo mengi kama hao(ingawa si wote)hao wakija kuufahamu ulimwengu wa nje ya kufia Dini umekwenda na maji sheikh.
Hakuna binadamu asiye na mapungufu katika hii dunia cha msingi ni kujua na namna ya kuishi na kuchukuliana.upendo na kusameheana vikitawala kati yenu.
2.hakuna haja ya kumchukia malaika wa Mungu(mtoto)bila sababu.kama una wasiwasi juu ya huyo mtoto nenda kimya kimya kacheki DNA ikijulikana si wako hakuna haja ya kuendelea na hiyo mwanamke maana huo uongo wa kukubambikia mtu mtoto umezidi levels zote.hauvumiliki.
3.hizo tabia za mkeo mpaka kufikia hapo..wewe mwanaume ndie uliyeruhusu huo ufala wote.mwanamke ni lazima aijue nafasi yake kama mwanamke sio akupande kichwani.halafu Huyo mwanamke inaonesha ana mwanaume mwingine Chief.
Kingine nyie wanaume pia jitahidini kuwa wabunifu na romantic kwa wake zenu.hata nyie huwa mnajisahau pia.mnaamini kuwa mwanamke ni kumhudumia tu na kumfanya fyoko fyoko kitandani [emoji57]
4.michepuko si suluhisho kabisa aiseh.tafuta muda wa kukaa peke yako sehemu iliyotulia(hapo usihusishe mchepuko kwenye safari yako)Hebu nenda kajitafakari kwa kina kama watoto wako ndio wanaokupa sababu ya kuishi na kufurahia maisha tafadhali tafadhali kuwa na muda nao.usiwapeleke boarding school ili upate muda sahihi wa kufurahi a nao.tafuta fuckmate ruhusu maisha yaendelee.ukiwa siriazi na mahusiano ya nje hakuna hatua kwenye maisha utapiga na hata hayo mahusiano ya nje yanamambo meusi mno..ukubali ukatae mwanaume hautakuwa peke yako kwenye maisha ya nje....
5.pole kwa changamoto unazopitia chief.aliyepewa kucha hana upele,mwenye upele hana kucha.mapenzi ya kindezi sana *****