Nimemdanganya wife nimefukuzwa kazi anataka kurudi kwao

Hapo huna mke mzeiya acha aondoke zake na usimchekee akileta upuzi wa kutaka mali. Pumbaf kabisa huyo
 
Fkuuza
Fukuza hiyo mbuzi!
 
Type yako washaenda na mafuriko ujue πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Kila ntu na ntuwe, wapo wengu sema kuwapata inategemea wewe ni mtu wa namna gani, kilamtu hupewa wa kufanana nae
 
jibu unalo mwenyewe aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…