Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
piga chini tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment bora ya mwaka kwangu,umpendaye amepata mke ashindwe yeye.Na bado una muadress kama wife, huyo sio wife ndugu, wife huwa hatukimbii matatizo badala yake huwa tunasimama mpaka mwisho, iwe jua iwe mvua
Huyo anaechepuk kwa maslahi mapana ya mume nae huwezi kumuita wife, angekua wife basi angetosheka na kila anachopata kwa mumeNakubaliana na nyinyi na hta km mnachepuka ila ni kw masilahi mapana ya Hali ya mumeo
Asante mkuuUmetisha sanaaa
Hongera kwako.
#YNWA
😅 😬 kitambo sana Veta mzeekumbe mtaalam wa fridge
Hii tabia hairekebishiki.... Mi naona ambwage tu lasivyo atakuja kujuta tu....Ni mwanamke asie uvumilivu na ambae hana kufikiria mbali, mwenye makosa ni mume.
Kwann anadanganya?? Mwana kulitafuta mwana kulipata[emoji23][emoji23]
Wewe ni wife wa kizazi kipi? 🤭🤭🤭Na bado una muadress kama wife, huyo sio wife ndugu, wife huwa hatukimbii matatizo badala yake huwa tunasimama mpaka mwisho, iwe jua iwe mvua
Hata ukijua Haitakusaidi mkuu, we toa ushauti kwenye uzi wa mleta madaWewe ni wife wa kizazi kipi? 🤭🤭🤭
Aache shobo au sio.😂😂😂😂Hata ukijua Haitakusaidi mkuu, we toa ushauti kwenye uzi wa mleta mada
ASitoke nje ya madaAache shobo au sio.😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23]Si tulikubaliana ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu!! Nyie wengine mlijipenyezaje[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]