Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila na nyie mnafeli[emoji23] dagaa wiki 3 tu unakata tamaa...[emoji23]Ukimuhuzunisha mkeo wewe unapata raha gani?
Mara paap unarudi kazini unakutana na barua ya kuachishwa kazi.Ndio utajua usemi wa neno linaumba.
Na ashapata watoto watatu anaoa ili iwejeMungu kakuokoa kwa kukutoa kwenye ndoa first time. We ulivyo *** ukaoa tena.
Tatizo sio dagaa tatizo kwann anasema uongo? anapata raha gani wkt mwenzake anahuzunika?Ila na nyie mnafeli[emoji23] dagaa wiki 3 tu unakata tamaa...[emoji23]
Kwa hiyo unatumia trick hii kumtimua ili upate kuoa mke wa tatu?Nimepata likizo ya kikazi ya siku 28 nikasema ngoja nitumie hii likizo kupima Imani ya mtu ,sasa hii ni wiki ya 3 tangu nilipomwambia wife nimefukuzwa kazi, ndani ya wiki 2 za mwanzo alijifanya kuvumilia hali ananipa moyo ila ugali na dagaa zilivyozidi kutaradadi leo ameamua kufunguka ya rohoni amesema tuachane tu hawezi kula dagaa kila siku.
akafika mbali akajifanya yupo marekani kumbe yupo bongo land akasema nyumba tuuze tugawane maana nilimdanganya kwenye hati nimemuandika yeye na mimi
NB:Huyu ni mke wangu wa pili nimezaa nae mtoto mmoja tu ana miaka 2 ,mke wangu wa kwanza alifariki mwaka 2018 nilizaa nae watoto 3 na hii nyumba nilijenga na marehemu
Si anapima upendo... Sema yeye ndo haeleweki kaona alikua hapendwi badala achukue hatua analialia....Tatizo sio dagaa tatizo kwann anasema uongo? anapata raha gani wkt mwenzake anahuzunika?
Huyu jamaa ndio anafeli sasa, anapima upendo kwa kumlisha mwenzie dagaaSi anapima upendo... Sema yeye ndo haeleweki kaona alikua hapendi badala achukue hatua analialia....
Upendo wa kweli unavumilia dagaa[emoji23]Huyu jamaa ndio anafeli sasa, anapima upendo kwa kumlisha mwenzie dagaa
Hatua gani unataka achukue??Si anapima upendo... Sema yeye ndo haeleweki kaona alikua hapendwi badala achukue hatua analialia....
Apige chini....Kuna kingine??Hatua gani unataka achukue??
Dagaa nayo ni mboga pia[emoji23][emoji23]huyu bwana hajiamini na amemuoa mwanamke asiyemuamini.Upendo wa kweli unavumilia dagaa[emoji23]
Yaan kumbe wewe ni mwepesi hivyo?Apige chini....Kuna kingine??
We unapendekeza nini??Yaan kumbe wewe ni mwepesi hivyo?
Dogo 😂😂Mungu kakuokoa kwa kukutoa kwenye ndoa first time. We ulivyo *** ukaoa tena.
Kwa kipimo hicho ameshamjua tabia yake, aishi nae kwa akili maana tayari ana watoto wengine tofautiiWe unapendekeza nini??
NAKAZIAHAMUELEWI MPAKA MTOKE MIDAMU
ACHANA NA UTAPELI
ACHANA NA UJAMBAZI
KATAA NDOA
Nakubaliana na nyinyi na hta km mnachepuka ila ni kw masilahi mapana ya Hali ya mumeoNa bado una muadress kama wife, huyo sio wife ndugu, wife huwa hatukimbii matatizo badala yake huwa tunasimama mpaka mwisho, iwe jua iwe mvua