Nimemdanganya wife nimefukuzwa kazi anataka kurudi kwao

Nimemdanganya wife nimefukuzwa kazi anataka kurudi kwao

Nimepata likizo ya kikazi ya siku 28 nikasema ngoja nitumie hii likizo kupima Imani ya mtu ,sasa hii ni wiki ya 3 tangu nilipomwambia wife nimefukuzwa kazi, ndani ya wiki 2 za mwanzo alijifanya kuvumilia hali ananipa moyo ila ugali na dagaa zilivyozidi kutaradadi leo ameamua kufunguka ya rohoni amesema tuachane tu hawezi kula dagaa kila siku.
akafika mbali akajifanya yupo marekani kumbe yupo bongo land akasema nyumba tuuze tugawane maana nilimdanganya kwenye hati nimemuandika yeye na mimi

NB:Huyu ni mke wangu wa pili nimezaa nae mtoto mmoja tu ana miaka 2 ,mke wangu wa kwanza alifariki mwaka 2018 nilizaa nae watoto 3 na hii nyumba nilijenga na marehemu
Huoni matatizo umeyatengeneza mwenyewe kwa kujifanya umefukuzwa kazi wakati si kweli, bora umjaribu mchepuko lakini sio mke, yakusoma humu changanya na yako.
 
If she will not offer anything apart from sex achana nae mkuu, apo ilibidi atoe wazo hata la kuuza genge vibiashara vidogo.....hakunaga maisha ya straight kwa watanzania sisi labda uwe tycoon.....Kushuka na kupanda nikawaida Sanaa...... [emoji23][emoji23][emoji23] Sema huyo sio MKE....huyo ni DEMU...POLE
 
Wewe ni ****[emoji23] ulitegemea nini...

Waswahili wanasema 'Mbwa mkali ukimfuga usipomlisha, atakung'ata tu....'
 
If she will not offer anything apart from sex achana nae mkuu, apo ilibidi atoe wazo hata la kuuza genge vibiashara vidogo.....hakunaga maisha ya straight kwa watanzania sisi labda uwe tycoon.....Kushuka na kupanda nikawaida Sanaa...... [emoji23][emoji23][emoji23] Sema huyo sio MKE....huyo ni DEMU...POLE
So why marry someone you know has nothing to offer other than sex? We need to take obligation as men and stop griping.
 
So why marry someone you know has nothing to offer other than sex? We need to take obligation as men and stop griping.
Kwani huyo jamaa hapo hajachukua obligation???.... kula dagaa ni jambo la ajabu???


Au umelelewa mboga Saba?? Watanzania wengi hicho nichakula Chao daily....

Mwanamke ndio anatakiwa awe mfariji mkuu kwako na kukupa Nguvu ya kupambana kwa namna nyingine ili Familia iendelee kuishi...na SIO KUKIMBIA
 
Nimewahi kuwaza hilo zamani na ku share na jamaa zangu huo mpango.
Wote waliniunga mkono.
Nimefurahi sana kuisikia kwako kama ni kweli umefanya hivyo.
 
Nimepata likizo ya kikazi ya siku 28 nikasema ngoja nitumie hii likizo kupima Imani ya mtu ,sasa hii ni wiki ya 3 tangu nilipomwambia wife nimefukuzwa kazi, ndani ya wiki 2 za mwanzo alijifanya kuvumilia hali ananipa moyo ila ugali na dagaa zilivyozidi kutaradadi leo ameamua kufunguka ya rohoni amesema tuachane tu hawezi kula dagaa kila siku.
akafika mbali akajifanya yupo marekani kumbe yupo bongo land akasema nyumba tuuze tugawane maana nilimdanganya kwenye hati nimemuandika yeye na mimi

NB:Huyu ni mke wangu wa pili nimezaa nae mtoto mmoja tu ana miaka 2 ,mke wangu wa kwanza alifariki mwaka 2018 nilizaa nae watoto 3 na hii nyumba nilijenga na marehemu
Ukimuhuzunisha mkeo wewe unapata raha gani?

Mara paap unarudi kazini unakutana na barua ya kuachishwa kazi.Ndio utajua usemi wa neno linaumba.
 
Back
Top Bottom