Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Boss..na hii chai ya moto nikuongezee sukari au nikupoozee kwanza🤣🤣🤣🤣🤣Nifungie yai chapati nitatembea naisasambua tu barabarani
Huoni matatizo umeyatengeneza mwenyewe kwa kujifanya umefukuzwa kazi wakati si kweli, bora umjaribu mchepuko lakini sio mke, yakusoma humu changanya na yako.Nimepata likizo ya kikazi ya siku 28 nikasema ngoja nitumie hii likizo kupima Imani ya mtu ,sasa hii ni wiki ya 3 tangu nilipomwambia wife nimefukuzwa kazi, ndani ya wiki 2 za mwanzo alijifanya kuvumilia hali ananipa moyo ila ugali na dagaa zilivyozidi kutaradadi leo ameamua kufunguka ya rohoni amesema tuachane tu hawezi kula dagaa kila siku.
akafika mbali akajifanya yupo marekani kumbe yupo bongo land akasema nyumba tuuze tugawane maana nilimdanganya kwenye hati nimemuandika yeye na mimi
NB:Huyu ni mke wangu wa pili nimezaa nae mtoto mmoja tu ana miaka 2 ,mke wangu wa kwanza alifariki mwaka 2018 nilizaa nae watoto 3 na hii nyumba nilijenga na marehemu
Dagaa kila siku hapana! Huyo mwanamke anataka kurudi kwao kuepusha mtoto wake asipate kwashakoo.Si ndio hapo sasa!!!! Tena ukute umekunywa zako na vibia.....sasa bia na vidagaa wapi na wapi
Kuna kamoja kako mtaani kanakwambia panya akila ile sumu anakufa na kufariki then anakauka kama kuniInabidi Jf waweke voice note usikike kama wale watangaza dawa za meno au mende
Ukipoza nitachelewa, we imiminie tu maji humo mi ninywe nisepeSawa Boss..na hii chai ya moto nikuongezee sukari au nikupoozee kwanza🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23]HAMUELEWI MPAKA MTOKE MIDAMU
ACHANA NA UTAPELI
ACHANA NA UJAMBAZI
KATAA NDOA
Na size ya sukari unaionaje imejitosheleza au nikuongezee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukipoza nitachelewa, we imiminie tu maji humo mi ninywe nisepe
HAMUELEWI MPAKA MTOKE MIDAMU
ACHANA NA UTAPELI
ACHANA NA UJAMBAZI
KATAA NDOA
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti mgawane Nyumba? Hujajifunza kwa HAKIMI?
View attachment 2595288
So why marry someone you know has nothing to offer other than sex? We need to take obligation as men and stop griping.If she will not offer anything apart from sex achana nae mkuu, apo ilibidi atoe wazo hata la kuuza genge vibiashara vidogo.....hakunaga maisha ya straight kwa watanzania sisi labda uwe tycoon.....Kushuka na kupanda nikawaida Sanaa...... [emoji23][emoji23][emoji23] Sema huyo sio MKE....huyo ni DEMU...POLE
Umeujua ukweli wa muda kabla jua halijazama.ulichokitafuta umekipata kaa kwa kutulia
Umetisha sanaaaNa bado una muadress kama wife, huyo sio wife ndugu, wife huwa hatukimbii matatizo badala yake huwa tunasimama mpaka mwisho, iwe jua iwe mvua
Kwani huyo jamaa hapo hajachukua obligation???.... kula dagaa ni jambo la ajabu???So why marry someone you know has nothing to offer other than sex? We need to take obligation as men and stop griping.
Ukimuhuzunisha mkeo wewe unapata raha gani?Nimepata likizo ya kikazi ya siku 28 nikasema ngoja nitumie hii likizo kupima Imani ya mtu ,sasa hii ni wiki ya 3 tangu nilipomwambia wife nimefukuzwa kazi, ndani ya wiki 2 za mwanzo alijifanya kuvumilia hali ananipa moyo ila ugali na dagaa zilivyozidi kutaradadi leo ameamua kufunguka ya rohoni amesema tuachane tu hawezi kula dagaa kila siku.
akafika mbali akajifanya yupo marekani kumbe yupo bongo land akasema nyumba tuuze tugawane maana nilimdanganya kwenye hati nimemuandika yeye na mimi
NB:Huyu ni mke wangu wa pili nimezaa nae mtoto mmoja tu ana miaka 2 ,mke wangu wa kwanza alifariki mwaka 2018 nilizaa nae watoto 3 na hii nyumba nilijenga na marehemu