Nimemfumania mpenzi wangu akiwa na mama yangu mdogo

Wewe na story zako hizi, andika kitabu tutanunua.
 
Hizi stori ni za kutunga lakini hata hivyo ngoja nicomment.

Kwa vile mama yako mdogo mwenyewe yuko 38 hata mimi ningemgonga!!​

Sipendi masihara kwenye vitu vya utani.
 
Dah maumivu uliyo nayo hata haina mfano ila kulia sio dawa,, dawa pekee Ni kukumbuka tu kuwa kisichoridhiki hakiliki maisha yanatakiwa kuendelea!!
 
Sema umefurahia walivyokuwa wanafanya ungekuja kuandika hapa hukosei hata herufi moja hapana
 
Kuchapiwa ni Siri ya Ndani,Sasa wwe umechapiwa na Mama Mdogo unakuja juu,je ungechpuwa na Shoga yako ingekuwaje!?
 
Mm hapo simlaumu boy wako hata kidogo ikiwezekana mtafute umuulize kuwa Kama anakupenda au laa. Mm sioni Kama jamaa anatakiwa kuachwa kwa sababu jamaa ni mdogo kwa mamamdogo lazima asingeweza kutumia siku mmoja mkutongoza. Pili umemkuta chumbani mwa mama mdogo wako
 
Hii ndo shida ya kuwa na mwanaume asiyejishughulisha unategemea nn hapo wacha ajisevie tu
 
Kunajmaa kaapost kuna link ya huy alietoa hii thread muhn nae chek juu kabisa na jamaa katadhalissha kabla ya kumpa ushauri som kwanz
 

Kastori kazuri kanadhaminiwa na JF jukwaa la mapenzi na mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…