Nimemfumania zaidi ya mara tatu na kusamehe, nimemuambia kumuoa anakataa

Kijana hizi ni akili zako au umechanganyikiwa
 
Ungekuwani mwanangu ungetafuta baba yako shetani mkubwa

Vuna ulichopanda.

Umfumanie mara ya kwanza ,ya pili, ya tatu Sasa SUBIRIA UKIMWI zawadi yako unakuja uanze kujinyea nayeye akukimbie uende ukatese ndugu zako mbwa wewe
 
Mara zote hizo?Hebu kuwa serious na Maisha ya kiume wewe.
 
Una roho ngumu sana wewe jamaa, demu anakupiga matukio yote hayo bado unaye tu, achana naye unamegewa sana au mpaka akuambukize ngoma ndiyo utakoma?
 
Wewe ni wa kupelekwa mstari wa mbele Ukraine
 
Kama kwenye ndoa kuna kusalitiana,kuchokana, mnaona ili iweje?..
Kwanini msikuwe single always mfurahie ufusika wenu kwa nafasi...
 
Mwanaume unatakiwa uwe uko fit sana kwenye ishu za kiimani hasa imani za asili. Utaepusha kulogwa hovyo kama mleta mada. Mleta mada ni zaidi ya SIMP.
 
Kumbe mandela bado wapo
 
Una uhakika huyo mtoto aliyezaliwa ni wako?
Kwa nini apikuficha miaka miwili usimuone?
 
Umewahi kulazwa Mirembe Hospital?
 
Nyie ndo masimp hivi huwa humsikilizi Natafuta Ajira ndo maana sasa wewe unahangaika.na huyo mwanamke asiyejielewa wanini we jamaa unazinguaa sanaaaaa

We endelea tu kumlea huyo shangazi aje akuue
 
Binafsi namsikitikia sana huyo mdada wa watu aliyekupenda kwwa jinsi ulivyo na mpaka ukaenda kumtolea mahali halafu ukamuacha,
Nina wasiwasi sana na huyo mtoto kama ni wako, kitendo cha mwanamke kuwa na ujasiri wa kutuma picha za uchi wake akijichezea tena kwa mwanaume ambae hampendi hiyo tu haikutosha kukustua??? umemfuma mara ya kwanza, ya pili, ya tatu halafu bado unakubali kumuacha mtu aliyekuwa na wewe wakati huyu hana muda na wewe,
tegemea kuendelea kuwa aunaachwa maana inaonekana ashazipima akili zako mpaka mwisho wake anajua hata ukimkuta analiwa mtungo na wanaume 10 bado utamlilia asiondoke!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…