Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Poti Scorpio memalela malela malela...
malela malela waaaangu namtafutaaaa...
njoo pm wewe ni shida sana hapa njini unaonekana ulikua kiongozi wa chenja kule maeneo fulani daahligoma talala ligoma...ukiwa mzembe majeshi huwezi mama wee...
ligomaaa ligomaaa ligoma linalia eeh eeh
we dada umevaa kimini mita.ko ndembe ndembe kumbe lina ngoma mama wee
ligoomaaa ligomaa ligomaaa linalia eeh.
Alkum kum kum kumnazii eeehnirushie taulo basi
dogo unapenda u cdoEwiiiiii............
Yanyukweeee..........
Daah, salam wakuu! habare za weekend? kwa wale wa mambo yetu yaleee watakua wanaelewa namaanisha nini hapa. haya basi mtaalam mmoja wa chenja aweke kitu basi tusuuze nyoyo zetu!
sababu ya mchezo...amba lelelele ambaYeleee eleeeee leee amba×2 (eleeeee leee ambaaa)
Ooh amba nalia (amba lele lele amba)
Dada mwajuma eeeh ( amba lele lele amba )
Kaunguza mboga eeeh (ambaaa lele lele amba)
[emoji23][emoji23][emoji23]service scorpio..AKD ###Poti Scorpio me
Jambo afandeee[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]majeshi kunoganjoo pm wewe ni shida sana hapa njini unaonekana ulikua kiongozi wa chenja kule maeneo fulani daah
Kwa kutoa issue za chombo hawajambo hawa Kwa mujibuWa mujibu shida kweli ....
Kumbe ulikuwa mng'ao,vp wamekutafuna wangapi?nimemiss kuitwa mng'ao na maafande[emoji23][emoji23][emoji23]
Mgambo moja hiiNilikwendaaaaaa Kabuku wakataka kuniuaaaaaa,nilikwenda mimi na buti zangu kanyaga
Hamjakesha nyie waulizeni awamu ya kwanza 821 kilicho wapatamimi hapa eeeeeh (amba) naitwa dead eeeeeh (amba) natokeeeea eeeeeh jeiiiiiiiiiiiiiief (amba)
MGAMBO JKT 835 KJ