Nimemiss Chenja

Nimemiss Chenja

Amba mama eeeh ( ambaaa)
Amba eeeeeeh (ambaaa )
Amba mama eeh (ambaaa )
Amba manyekunyeku (ambaaa)
Amba mselule (ambaaa)

Hahaha mbali saana tunatoka yombo to kalunde wale wa rsm mwaipungu watanielewa
 
Aniiita (ambaaa)
Aniiiita weeeh(ambaa lilele ambaa)

Usitorekeeee!!!(ambaa lileleee ambaa)

Kuna afande anitwa morani pale Mtabila 825 kj huyu jamaa alikuwa anaimbisha sana kwa hisia na sura yake mbaya undifined ya masikito sio ya masikito ya bangi sio ya bangi Ila bangi alikuwa anavuta na tulikuwa tunamwona sana

Sema nini alikuwa peace sana mambo ya kuzingua kuruti hakuwa nayo alikuwa mshikaji kwa kila MTU

Awiiiiiiiih awiaaaaaah
 
ligoma talala ligoma...ukiwa mzembe majeshi huwezi mama wee...

ligomaaa ligomaaa ligoma linalia eeh eeh

we dada umevaa kimini mita.ko ndembe ndembe kumbe lina ngoma mama wee

ligoomaaa ligomaa ligomaaa linalia eeh.
njoo pm wewe ni shida sana hapa njini unaonekana ulikua kiongozi wa chenja kule maeneo fulani daah
 
nirushie taulo basi
Alkum kum kum kumnazii eeeh
Aiyeee kumnaziiiiii
Alkum kum kum kumnazi eeeeh
Aiyeee kumnaziiii
Wewe dada unaitwa nanii eeh
Aiyeee kumnaziiii
Ulitokea kikosi gani eeeh
Aiyeee kumnaziiii
Na intake yako jina gani eeeeh
Aiyee kumnaziiiiii
 
Yeleee eleeeee leee amba×2 (eleeeee leee ambaaa)
Ooh amba nalia (amba lele lele amba)
Dada mwajuma eeeh ( amba lele lele amba )
Kaunguza mboga eeeh (ambaaa lele lele amba)
sababu ya mchezo...amba lelelele amba
 
Awe tunaondoka haya twende tunaondoka haya twende
awe celina weee celina haya twende /siulitaka mwenyewe kwenye mikokoa tuliza bali wangu mpira umejaa
 
yango na yango pesa mokili na mboto mawaaaaaaaaa mawaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom