Nimemiss Chenja

Nimemiss Chenja

Ewiiiiii............
Yanyukweeee..........
Daah, salam wakuu! habare za weekend? kwa wale wa mambo yetu yaleee watakua wanaelewa namaanisha nini hapa. haya basi mtaalam mmoja wa chenja aweke kitu basi tusuuze nyoyo zetu!
Na Moyo wangu mie waumauma, tena unauma sanae waumauma,nifanye nini,waumauma baka umependa mwenyewe waumauma.
 
Kaka salome nipe shilingi nikanunue soda ninyweeee ×2
Kaka salome nipe shilingi nikanunue soda ninyweeee ×2
Nalilia nini? Nalilia coca kola X2
Sigara za nini mama Nalilia coca cola
 
Nuiya amba Nuiya.... ( ambaaa nuiyaaa)
Nuiya ambaaa Nuiyaaa ( amba Nuiya)

Wazalendo tujipe moyo...ipo siku tutamalizaaaa ( amba Nuiya)
 
Yeleee eleeeee leee amba×2 (eleeeee leee ambaaa)
Ooh amba nalia (amba lele lele amba)
Dada mwajuma eeeh ( amba lele lele amba )
Kaunguza mboga eeeh (ambaaa lele lele amba)
 
Back
Top Bottom