EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mkuu ngoja nikuache[emoji1316][emoji1316] SAMAHANIUnaongea ujinga mzee! Shirikisha ubongo kabla ya kuropoka upuuzi
Good response[emoji109]Mkuu ngoja nikuache[emoji1316][emoji1316] SAMAHANI
[emoji1756][emoji1756]Good response[emoji109]
Nitakuja PM tupeleke hii kitu kwenye anga za juu.Ushawahi kujisikia hisia za hivi? Unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Hope umepata Miss natafutaNatafuta hata wa kuniambia pls call me
Tulia wewe napendwa hadi naumwaaaaaNitakuja PM tupeleke hii kitu kwenye anga za juu.
Dah! Sawa Mkuu. Nimefarijika sana kuwa hali yako imekuwa bora.Tulia wewe napendwa hadi naumwaaaaa
Tulia wewe napendwa hadi naumwaaaaa
YeahSo kumbe umeolewa na ur first date?
Aaaah weee koma๐Nmekuchagua wewe uwe huyo hawara
Nimekuchagua haki a mama tena!! Jioni njema my wangu nakupenda sanaAaaah weee koma๐
When the tragedy strikes and other storiesAt times love is tragedy...
Pole aisee...mbaya zaidi huwa muda na umri havirudi nyuma ๐ ๐ ๐ ๐
NaamSasa wewe kuambiwa uangalie units za luku zimebaki ngapi unaona shida?
Can u imagine ungekuwa baba ndo mkeo anakupigia baba nanii huku umeme umetukatikia halafu huko uliko hata nauli ya kurudi nyumbani huna umekaa mahali unakuna kichwa?
Ukiona kwenu nyie wanawake kunafuka moshi kwetu sisi wanaume panateketea.