Nimemiss kupendwa....


Upigwe upepo sehemu gani sasa!

Hebu dadavua kidogo, na huo upepo ni upepo gani maana kuna pepo nying zikiwemo za kumpampu
 
Kwanza acha kufuatilia hiyo tamthilia..

Pili ,kumisi kupendwa ninkumiss kujipenda..

Ukijipenda sana hata upendo wa watu wengine kwako Ni bonus kwako,hisia hizo zinakuja mkiacha kujipenda na mkitoka vitambi au kupoteza miili yenu ya zamani manakuwa mnahisi km huna tena attention vile
 
Kwani wahenga na nyie huwa mnamiss mambo ya ujana?
 
Sasa wewe kuambiwa uangalie units za luku zimebaki ngapi unaona shida?

Can u imagine ungekuwa baba ndo mkeo anakupigia baba nanii huku umeme umetukatikia halafu huko uliko hata nauli ya kurudi nyumbani huna umekaa mahali unakuna kichwa?

Ukiona kwenu nyie wanawake kunafuka moshi kwetu sisi wanaume panateketea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…