Nimemiss kupendwa....

A million dollars question, cha ajabu utaona mithread yao hapa mwanaume afanyiwe hivi afanyiwe vile lots of bla bla, ila wao ni majukumu....teh (jibu nnalo)

Halafu walivyo wasengerema unakuta mtu huyo huyo mwenye majukumu and blah blah.. anabebisha mtoto wa high school
Men we need some love at some points..
 
umeongea mambo mazito sana honey, haya nitayafanyia kazi kumwa update mdogo ako, leo hata amini kwa mahaba nitayomwonyesha japo ni ya mbali, nitaitumia simu yangu vyema kunye..ge..sh..a[emoji8]

Utashangaa utakavyoyafufua mahaba..
Wanawake tunaenda na beat most of the time
Kuna siku ikaingia txt nakupenda sana mke wangu🤣🤣🤣🤣
Was like leo kachepukia wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Was excited and the day turned to a beautiful day like when was young and loved
 
Halafu walivyo wasengerema unakuta mtu huyo huyo mwenye majukumu and blah blah.. anabebisha mtoto wa high school
Men we need some love at some points..
Hahaha si bora high school anatafuta kitu cha tofauti, wengine mmama mwenye four kids kutoka vijijini huko mambo ni mengi.
Haya majukumu haya koh koh
 
hilo neno "nakupenda" huwa linaponda mifupa kabisa, uko sahihi nitayafufua kwa moto wa ubatizo[emoji8]
 
Ooh kumbe matatizo yanatofautiana sana ndio maana huwa siamini katika ushauri wa ndoa, naamini kile mmachoamini Mimi..
Make utakuta kinachojenga kwangu kwako wewe kinabomoa, kinachojenga kwako kwangu ni Bomu.
Unachosema ni sawa kabisa, kinachojenga kwako kinaweza kuwa sumu kwangu. Ndio maana hata mtu akikushauri mambo ya chumbani unatakiwa kuwa makini sana...
 
mzee mwenzangu hiyo sio ndoa bali gereza...mnapoamka asubuhi mwingine anapelekwa kupasua kuni zipikie wafungwa na mwingine anapangiwa shambani
Kila ndoa ina namna yake ya kuendesha mzee mwenzangu. Hizi ndoa zetu changa ndio utakuta watu hawajachokana, wanaweza kushinda waki-chat siku nzima. Uliza walioishi 10+yrs, ni wachache sana wana-keep in touch wakiachana asubuhi, wengi ni kuhusu issues tu (bills, projects nk), wachache sana wanabebishana.
 
iwe 15+ mkiacha kubebishana hata kwa wiki mara 2 ujue maji yatatafuta mkondo wa kupita.
 
Hivyo vyote ulivotaja naweza, na hua namfanyiaga dada yako, Sema tu sasa we ni Shemeji yangu ndo mtihani waanzia hapo. Sijui hata nakusaidiaje yaani. Labda nikikutana na Bro nimuelezee tuone inakuaje.
 
Kwanini usimwambie baba nanii haya maneno yote., Mahusiano mazuri ni communication tu between mume na mke

Kama akigoma kufanya hayo.,
"Send me your location
Let's focus on communicatin' 'cause
I just need the time and place to come through,
Send me your location
Let's ride the vibrations
I don't need nothin' else but you" [emoji23]
 
Nakuona bwana mkunaji limekupata pele 😄 😄
 
Tabuzote zanini siutumie rivola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…