Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Si unajua tena Damu nzito kuliko maji.. 😂 ndugu zetu wa tumbo moja wanatuumiza maksud wakihisi hakuna cha kuwafanya kibaya.ungemleta kwa babu njunju nina tiba yao hao maandazi watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unajua tena Damu nzito kuliko maji.. 😂 ndugu zetu wa tumbo moja wanatuumiza maksud wakihisi hakuna cha kuwafanya kibaya.ungemleta kwa babu njunju nina tiba yao hao maandazi watu
Dah, pole mkuu!Na kila kitu nampa zaidi ya hicho anachoniibia. Sahiv nimechek smartwatch yangu siioni ishapigwa tyr.
Mifunguo ya akiba uli ichukuwa mwenyewe?.Ukinitapeli mara ya kwanza aibu iwe kwako unaenifanyia hayo mabaya, lakini ukinipiga mara ya pili kwa style ile ile nikiwa na utimamu wa kujua kinachoweza kutokea basi aibu iwe kwangu, Niliapa sitoweza kuangukia kwenye mtego wa jaribio la kwanza kwa mara ya pili.
Niliweka binti wa kazi alinitandika shilingi laki 3 mwezi mwanzoni na nikadhani may be ni kosa langu but hadi kuamua kufikia hayo maamuzi ni baada ya kuona kwamba labda pengine ni uzembe wangu wa kutokutunza kumbukumbu vizuri, pia alilia sana machozi kwahio nikasema acha nifunike kombe mwanaharamu apite maisha yaendelee.
Lakini sikuwa mjinga kusamehe na kusahau, nilishaweka countereasures za kutoangukia mtego maana hilo tukio nilikuwa nalikumbuka halikupotea kichwani.
Siku ya jumatatu baada ya kumlipa mshahra wake nashangaa tena leo nimekula short ya laki na 30 flani , HELL NOOO !!!
Yeye hakujua kwamba nilianza kutunza rekodi za withdrawals kila siku kisirisiri na niliweka camera ya siri ofisini so nikavua koti kuanza nifatilie, kila kitu kilichorekodiwa pindi nikiwa sipo mpaka duka linapofungwa.
Nimemdaka live bila chenga kaingia ofisini na kuchomoa pesa, Binti ni mafia aisee!! kumbe na yeye ana funguo spare sehemu nayotunza pesa, kweli alikuwa kajipanga.
Nilivuta pumzi na kuongea kwa sauti, FOOL ME ONCE SHAME ON YOU, FOOL ME TWICE SHAME ON ME !! yeye akasema bosi kuna nini, nikarudia tena FOOL ME ONCE SHAME ON YOU, FOOL ME TWICE SHAME ON ME !! akawa kimya akinishangaa nikamwita kwa majina yake matatu mara mbili na kumwambia HOW DARE YOU , hasira nilizozipata nusu nimzabue mikofi ziga zaga ya bila mpangilio ovyo ovyo, Ila nikashusha pumzi nikamwambia hebu njoo uone huku kwenye screen, alipojiona akaanza kupiga magoti ohh boss nisamehe, nilikuwa na shida ya pesa, mshahara haukutosha, n.k. nilibaki kumshangaa nikamuuliza mshahara wako tuliokubaliana nimewahi kukuchelewa, akabaki hana jibu maana sijawahi kumcheleweshea, nikamuuliza tena day allowance yako nimewahi kukunyima, akasema hapana maana ni kweli kila siku akifika tu ana haki ya kuchukua elf 3.
Nilichofanya ni kumwambia naenda kumwambia polisi na ndugu zake, Network yake ni kama ilikata, nikamwambia option pekee aliyonayo anirudishie laki 3 aliyonipiga mwanzo na laki 1 aliyonipiga jana na kisha aondoke.
Uzuri nilikuwa napajua kwao na alinisihi sana nisioneshe video kwa watu wake naowajua, kijana toka asubuhi saa tatu ndio karudi muda huu na pesa laki 3 na elf 70 inaelekea kahenya sana huko,
Shughuli ndipo imeishia hapo kazi hakuna tena na nimemfanyia kwa huruma sana maana evidence clealy inaonyesha anavyoiba
Sasa Boss vipi kuhusu hiyo kazi? cv natuma wapi?Nimemwambia aitafuta sana aipate kabla ya j3 anitumie kwa mpesa wala sitaki akanyage hata ofisini
Waweza kuhisi unamkomoa kwa s*x akaifinya cd ikapasuka akakupa magonjwa ama mimba kabisa kibao kikugeukie
bora umenitetea ndugu yang ktk ukoo wa shorobwenz 😂😂😂Mkuu we uliyewajulia utotoni mbn wanakupiga za uso mpaka unaongea ngeli kama unaigiza bongo movie
Haya mambo hayana mwenyewebora umenitetea ndugu yang ktk ukoo wa shorobwenz 😂
jamaa nimemshaur akawa mkal kama gabachor mla pilipili za upupu camonHyo 30k iliyobaki ungemla mara tatu pumbavu kbs kila mlo 10k
Mm Kuna namna alinijibu kwa kebehi ndo maana nlimuuliza hvojamaa nimemshaur akawa mkal kama gabachor mla pilipili za upupu camon
nkamuambia basi anipe namba nimtibu tatzo la udokozi nimpe na kazi kakaza namba
Vifaa ila anaza na camera chache then ongeza.Naomba kujua hivi gharama kubwa ya cctv ni kwnye kununua na kutengeneza mfumo au kuuendesha?
Na nikiasi gani?
Naomba jibu la kueleweka..
Na mimi nimechoka.