Nimemkamata binti wa dukani kaniibia kwa mbinu aliyoniibia mwanzo, Kazi hana mshahara umekwenda

Inauma sana kuibiwa kuskie tu kwa mtu mm niliibiwa dukani kwangu kizembe sana japo naamin kabisa na dada aliyekuwa dukani nae aliiba baada ya tukio..haiwezekani mwizi ajue sehemu zote zinapotunzwa pesa achukue zilizofichwa sehemu zaidi ya 3 ..alivoona nimeanza process za kufatilia polisi na akaona kabisa mwizi anaenda kipatikana akajiuzulu kazi..mdada/mkaka akizoea kazi kwa kukaa mda mrefu mahali anajua mbinu zote za kuiba na once utakapogundua njia hizo(kwa kuhisi au ni kweli anaiba)ww bos ukianza kuformulate mbinu za kumdhibit hakai ataondoka tu maana mirija ya udokozi ushaidhibit boss, anaona hapana maslahi tena ..either atadai kuongezewa mashahara hata kama anaona kabisa mapato yako chini atajijali yeye au ataresign kwa kutafuta sababu za kipuuzi..MWIZI NI MWIZI TU HAIJALISHI JINSI YAKE tena bora ww unaevidence kabisa ALIPE si wa kumuonea huruma kabisa
 
Punguza kuangalia movie za kihindi
 
Mifunguo ya akiba uli ichukuwa mwenyewe?.

Kwanini umlipishe laki 3 wakati umemkamata kaiba laki 1 na 30?.
 
Nimemwambia aitafuta sana aipate kabla ya j3 anitumie kwa mpesa wala sitaki akanyage hata ofisini

Waweza kuhisi unamkomoa kwa s*x akaifinya cd ikapasuka akakupa magonjwa ama mimba kabisa kibao kikugeukie
Sasa Boss vipi kuhusu hiyo kazi? cv natuma wapi?
 
Wote humu kwa nafasi zenu huwa mnaiba, Wizi nchi hii imekuwa kitu cha kawaida sana.
 
Naomba kujua hivi gharama kubwa ya cctv ni kwnye kununua na kutengeneza mfumo au kuuendesha?
Na nikiasi gani?

Naomba jibu la kueleweka..
Na mimi nimechoka.
 
jamaa nimemshaur akawa mkal kama gabachor mla pilipili za upupu camon
nkamuambia basi anipe namba nimtibu tatzo la udokozi nimpe na kazi kakaza namba
Mm Kuna namna alinijibu kwa kebehi ndo maana nlimuuliza hvo
 
Naomba kujua hivi gharama kubwa ya cctv ni kwnye kununua na kutengeneza mfumo au kuuendesha?
Na nikiasi gani?

Naomba jibu la kueleweka..
Na mimi nimechoka.
Vifaa ila anaza na camera chache then ongeza.
Mi nilianza na camera 3 sasa hivi Nina 8.
Kamera mpaka njiani wanakopita raia..!!!

#YNWA
 
Yani sijui nyie huo ujasiri,wa kumuachia mtu biashara mnautoa wapi,Mimi nilimwachia rafiki yangu tu ambae anajiweza vizuri anakazj yake serikalini,anasehem yakukaa na hapo alikuwa likizo nilimuomba wiki tu,lkn nilivyorudi sikuamini
Anafika hatua anauza Bei ya chini,ili auze haraka nilianza upya mbona,nikasema kuliko kuajiri mtu Bora nimepe wife au nifunge kabisa nikafanye Mambo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…