GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mtafute Swahiba wake mkubwa, Mlevi Mwenzake na Mpenda Mbunye ( K ) kama Yeye Carlos ( Mtoto Mkubwa wa aliyekuwa Mkuu wa JKT Tanzania na Mzanaki Mwenzangu Meja Jenerali Raphael Muhuga ) atakuelekeza alipo kwa sasa.Mwamba alipanda vyeo kwa kasi ya 5g chini ya utawala wa hayati Magufuli.
Alikuwa anapendwa sana na hayati Magufuli, kwenye dili za ujenzi alishiriki sana na vijana wake wa JKT.
Sasa hivi yuko wapi?