mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Kama ni kweli unaweza kumvumilia mumeo akichepuka bas wewe ni miongoni mwa wanawake wa kipekee sana hapa duniani na bila shaka mpo wachace mno witnessjPole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?
Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!